Mundamushimu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 752
- 432
Pokeeni salamu moja kwa moja kwenye mada. Ni hakika hakuna vituo vyenye wafanyakazi wenye ubunifu wa vipindi bora kama TBC 1 na Channel Ten, nawapongeza sana, endeleeni hivyo hivyo na hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais.
Povu ruksa.
Povu ruksa.