TV yetu ya amma haijatutangazia kabisa yaliyojiri leo Dar, kuhusu maandamano ya Chadema. Kwa nini hawa jamaa wanatunyima habari? Wametuchagulia tuone habari za CCM tu! Hivi TBC1 wanajua wajibu wa chombo cha umma?
TV yetu ya amma haijatutangazia kabisa yaliyojiri leo Dar, kuhusu maandamano ya Chadema. Kwa nini hawa jamaa wanatunyima habari? Wametuchagulia tuone habari za CCM tu! Hivi TBC1 wanajua wajibu wa chombo cha umma?
Bado unawaangalia hawa jamaa, afadhali enzi ya TIDO MHANDO, sasa hivi hamna kitu hapo imebaki ibadilishwe iwe mali ya CCM moja kwa moja au iungane na UHURU
Ule mchakato wa CHADEMA kuanzisha TV na Redio yao umefikia wapi? Mkuu Tumaini Makene vipi mchakato huo? Watu wanalalamikia TBC kwamba haiwapi habari na dawa ni CHADEMA kuwa na vyombo vyake ili viwapatie habari wananchi wakiwemo wale wa vijijini badala ya kutegemea mtandao tu kama huu wa JF.
TV yetu ya amma haijatutangazia kabisa yaliyojiri leo Dar, kuhusu maandamano ya Chadema. Kwa nini hawa jamaa wanatunyima habari? Wametuchagulia tuone habari za CCM tu! Hivi TBC1 wanajua wajibu wa chombo cha umma?
TV yetu ya amma haijatutangazia kabisa yaliyojiri leo Dar, kuhusu maandamano ya Chadema. Kwa nini hawa jamaa wanatunyima habari? Wametuchagulia tuone habari za CCM tu! Hivi TBC1 wanajua wajibu wa chombo cha umma?
TV yetu ya amma haijatutangazia kabisa yaliyojiri leo Dar, kuhusu maandamano ya Chadema. Kwa nini hawa jamaa wanatunyima habari? Wametuchagulia tuone habari za CCM tu! Hivi TBC1 wanajua wajibu wa chombo cha umma?
TV yetu ya amma haijatutangazia kabisa yaliyojiri leo Dar, kuhusu maandamano ya Chadema. Kwa nini hawa jamaa wanatunyima habari? Wametuchagulia tuone habari za CCM tu! Hivi TBC1 wanajua wajibu wa chombo cha umma?