TBC yakisimamisha kipindi cha 'This Week in Perspective'

TBC yakisimamisha kipindi cha 'This Week in Perspective'

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,755
Reaction score
2,644
Kuna taarifa kuwa Shirika la utangazaji la Taifa (TBC) limekisimamisha kipindi chake cha This week in perspective kinachoendeshwa na Adam Simbeye bila maelezo ya kueleweka.

Hata hivyo imeelezwa na watu wa ndani kuwa mijadala ya kipindi hicho imekuwa mikali kwa Serikali, hivyo wakubwa hawataki.
 
serikali ya ccm ni sikivu sana hichi kipindi kilikuwa kinawaamsha wananchi sana na kuichafua serikali yetu wana mlengo wa chadema.kigumu chama cha mapinduzi
 
Nina miaka 3 sijawahi angalia TBC, kwa kukifuta bado sio issue kwani wanaoangalia TBC ni walewale wa kwao. nilikuwa naangalia TBC wakati ule wa TIDO na hususani walipokuwa wakionyesha EPL.
 
Unatakiwa ujue kiingereza ili uweze kufuatilia hiki kipindi. Kipindi kilikuwa kizuri sana na walikuwa wanabishana kwa hoja. Kwa kweli Simbeye ana uwezo mkubwa sana wa kiingereza. Tusomeshe watoto na lugha ya dunia siyo Kiswahili bali ni Kiingereza.
 
tbc ni chombo cha chama chama mapinduzi na wala si cha umma au serikali mambo mengi sana muhimu awayaonyeshi mimi mwenyewe wala sina hamu nao hao watu hasa clement mshana hana weledi kabisa wa tasnia ya habari hasa kutofautisha chombo cha umma na chombo cha propaganda
 
Wangekiacha tu wananchi wengi hawajui kikristo.
 
kufungia au kusimamisha kipindi kwa lengo la kuzuia msuguano wa mawazo unaoweza kuleta mwamko n isawa na ujinga wa kuona muda unasogea halafu ukasimamisha saa uliyovaa!
 
Kuna taarifa kuwa Shirika la utangazaji la Taifa (TBC) limekisimamisha kipindi chake cha This week in perspective kinachoendeshwa na Adam Simbeye bila maelezo ya kueleweka.
Hata hivyo imeelezwa na watu wa ndani kuwa mijadala ya kipindi hicho imekuwa mikali kwa Serikali, hivyo wakubwa hawataki.
Wasiwasi wao tu, wangejua watu wengi wameshaachana Tbc wange acha tu kibaki maana hamna wanaofikiria kama kuna kituo kinaitwa tbc. Naona wafungie na taarifa za habari.
 
nasikia mkurugenzi wa tbc lugha haipandi huwa ana wasiwasi wanamteta..

Acha Majungu na Uwongo Clement Mshana Anakijua Vizuri Sana Kiingereza na Ni Mtu Makini Sana Na Anajua Anafanya Nini Japo Kwa Uozo Mwingine Wa TBC Naungana Nawe Wana Mapungufu Kadhaa Ingawaje Na Sisi Pia Tunaoilalamikia TBC Tumesahau Kwamba Ni Chombo cha Serikali Ambacho Ni Lazima Kiunge Mkono Mambo Yote Ya Mtawala na Kuchuja Pia Lawama Dhidi Yake.
 
Hiyo tbc si chombo cha umma ila ni chombo cha ccm...toka walipomuondoa mhando mimi sijatizama hiyo tv
 
Safi sana,sijui walikuwa wanamwelimisha nani kwa kutumia lugha ya kigeni. Huyo mzee mwenye midevu kama Waafghanistan acha aijue kachumbari ni mboga au kiungo!?
 
Back
Top Bottom