TBC wamezima tusione Bunge

TBC wamezima tusione Bunge

KUNDULE

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
318
Reaction score
177
Wameweka mziki ngoja tu tutakutana October.
 
Au bunge litaendelea kesho?
Tupate taarifa kamili ndio tujadili kama kweli tbc wamegoma kuonyesha bunge au la?
 
Hapa nimecheza na rimoti mpaka vidole vimelemaaa hawaoneshi kabisa waturudishie ruzuku zetu huu niuwizi wa wazi wazi
 
Wanaogopa aibu, leo zitapigwa vibaya lakini muswada haupiti!!
 
Aliyeko ndani ya Bunge arekodi hata audio kinachoendelea bungeni kwa manufaa ya Watanzania.
 
Wale wa star bunge na wabunge wetu tupeni taarifa watumieni sms wabunge wetu ukawa watuambie nini kinajili
 
tuambie wewe uliyeko huko, bunge linaendelea ama ni vipi?

Nadhani litakuwa limeahirishwa tena kwani hata channel ya starbunge-tz, nao hawaonyeshi, walianza kuonyesha mwanzoni kidogo ikaoneka na hadi saa 10.5,ukumbi wa bunge ulikuwa tupu!!! sijui kuna nini kimetokea
 
Duh mekereka sana mesubir muda umefika wameonesha wabunge wakiingia ukumbini ghafla wakabadilisha na kuanza nyimbo za dini
 
Si ajabu hawa wahuni wameamua kufanya ujambazi wao wa kupitisha hii miswaada yao ya kihuni kibabe

Nadhani litakuwa limeahirishwa tena kwani hata channel ya starbunge-tz, nao hawaonyeshi, walianza kuonyesha mwanzoni kidogo ikaoneka na hadi saa 10.5,ukumbi wa bunge ulikuwa tupu!!! sijui kuna nini kimetokea
 
Nmekaa kitako muda mrefu naona sioni kinachoendlea,yamkini tbc1 wamepigwa mkwara wasioneshe
 
Back
Top Bottom