Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 24
ki ukweli nimefurahishwa na taarifa ya kutaka kuboresha tbc.na mkurugenzi kasema zinahitajika shs bil 18 .na serikali imesema itakopa nssf. Mi na ushauri kwa serikali kwmb bajeti ya fedha inayotarajiwa kutumiwa kwny uchaguzi wa Arusha mjini ambozo ni bil 19 zitumike kwenye maboresho ya televisheni ya watanzania badala ya kutumiwa na watu wachache.wadau nyie mna maoni gani?