mujusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 237
- 58
Kwa wakati huu ni kam kurudisha mishale ya saa yako nyuma na kuamini muda wako ulioutega mwenyewe. kama TBC haitangazi wengine watatangaza na ujumbe utawafikia watu ila cha kufanya ndio hawana masikini wanabaki kusikitika tu na jinsi ya kuchagua viongozi hawawezi. watakaoteketea wapo na watakaobaki wapo mpaka utakapofika wakati wa kupata viongozi wa kweli na makini.
These pipo bana.
Wameamrishwa kuliondoa maana hiari yao hawawezi.
Wametumia kanuni ipi ya maadili YAO ya uchaguzi kuliondoa hilo banner?
Dawa ni kuwaombea njaa watu hawa