haiwezekani habari ya Vurugu morogoro wasiitangaze hata kuigusia kidogo.
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari. TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi
Au ndo kufwata maneno ya Rais kwa vyombo vya habari kuacha kuichafua serikali kwa kukuza habari. TBC naifuta rasmii, haina tofauti na gazeti la Udaku..
Achana na TBC, ni mradi wa kupumbaza wananchi