Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,891
Kama kuna chombo ningekifukuza na wangekataa kutoka ningewamwagia tindikali ni tbc taifa
televission na redio hizi zimekuwa mstari wa mebeele kuonyesha matukio ya kampeni za ccm tu lakini cha ajabu siku ya matokeo kule arumeru wakakimbilia kumhoji nassari wa chadema ambae nae si kwamba alikuwa akifanya kampeni zake angani labda wangeshindwa kupata habari zake la hasha ni unafiki na uzandiki na kama sauti ya watu sauti ya mungu ilivyojidhihirisha huko arumeru
naamini mungu alie hai akawapotezee kabisa ...wameona hata aibu ya kumhoji sioi wakati walikuwa wakirusha habari zake pekee...ni upuuzi na uzandiki wa ccm kuhodhi mali za taifa na kujilimikisha kama mali za chama na hivyo kushindwa kutumikia taifa na badala yake kutumikia chama
kama mh jk rais wa jamhuri ya muungano watanzania sauti ya watu sauti ya mungu napenda kukujulisha kama nassari alivyochukua jimbo kwa amani naomba jitayarishe na wewe kuutuachia ikulu kwa amani
pplzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz p..................................................
televission na redio hizi zimekuwa mstari wa mebeele kuonyesha matukio ya kampeni za ccm tu lakini cha ajabu siku ya matokeo kule arumeru wakakimbilia kumhoji nassari wa chadema ambae nae si kwamba alikuwa akifanya kampeni zake angani labda wangeshindwa kupata habari zake la hasha ni unafiki na uzandiki na kama sauti ya watu sauti ya mungu ilivyojidhihirisha huko arumeru
naamini mungu alie hai akawapotezee kabisa ...wameona hata aibu ya kumhoji sioi wakati walikuwa wakirusha habari zake pekee...ni upuuzi na uzandiki wa ccm kuhodhi mali za taifa na kujilimikisha kama mali za chama na hivyo kushindwa kutumikia taifa na badala yake kutumikia chama
kama mh jk rais wa jamhuri ya muungano watanzania sauti ya watu sauti ya mungu napenda kukujulisha kama nassari alivyochukua jimbo kwa amani naomba jitayarishe na wewe kuutuachia ikulu kwa amani
pplzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz p..................................................