Not interested at all...........wakati wakorea na wachina wakilingia maendeleo makubwa ya technolojia na mapinduzi ya viwanda vya kisasa sisi tunafurahia kuona wanajeshi wetu wakidondosha sori za viatu kwenye gwaride!!
Yah, ni very interesting kwa kweli but dontyou see that hiyo ni sehemu ya kampeni kwa majeshi yetu? Mambo ya ajabu sana. Kwni hujasikia vijana wetu wanaimba ule wimbo maarufu wa TUNA IMANI NA KIKWETE? Nini maana yake?