Not interested at all...........wakati wakorea na wachina wakilingia maendeleo makubwa ya technolojia na mapinduzi ya viwanda vya kisasa sisi tunafurahia kuona wanajeshi wetu wakidondosha sori za viatu kwenye gwaride!!
Yah, ni very interesting kwa kweli but dontyou see that hiyo ni sehemu ya kampeni kwa majeshi yetu? Mambo ya ajabu sana. Kwni hujasikia vijana wetu wanaimba ule wimbo maarufu wa TUNA IMANI NA KIKWETE? Nini maana yake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.