Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,240
Taarifa ya habari ya 20hrs naona TBC walikuwa wakionesha ufunguzi wa kampeni kwa CCM nashangaa wakawa wanonesha watu kwa mimbari ie Mkapa na Kafumu wakihubiri bila kutuonesha watu mara wakachomekea umati wa watu ghafla alafu wakaendelea na speech.
Mbaya zaidi watu waliokuwa wakijibu wakati mkapa na Kmfumu wanahutubia zilikuwa sauti hafifu kabisaaaa ambayo ilikuwa tofauti na nyomi feki walioichomekea.
Naona turn up ya watu itakuwa ilikuwa ndogo am sure.
Mbaya zaidi watu waliokuwa wakijibu wakati mkapa na Kmfumu wanahutubia zilikuwa sauti hafifu kabisaaaa ambayo ilikuwa tofauti na nyomi feki walioichomekea.
Naona turn up ya watu itakuwa ilikuwa ndogo am sure.