johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,598
Karibu! Ujumbe wa Pasaka ni kwamba mchakato wa kupata viongozi bora ,2018 yaani serikali ya mtaa na 2020 ubunge uanze sasa! Tusisubiri uchaguzi upite ndio tuanze kulaumiana!
Kanisa katoliki Mwanjelwa Mbeya!Kanisa gani Mkuu ?
Baba askofu ameichamba selikali yaani bila kuogopa
2020 na urais tuanze kutafuta atakayesimamishwa kuanzia sasa, si ccm si upinzani.Karibu! Ujumbe wa Pasaka ni kwamba mchakato wa kupata viongozi bora ,2018 yaani serikali ya mtaa na 2020 ubunge uanze sasa! Tusisubiri uchaguzi upite ndio tuanze kulaumiana!
Tuwekee maneno yake yote hapa Mkuu...Baba askofu ameichamba selikali yaani bila kuogopa
Sema wewe ndio umeichoka!ukitaka kuficha mahubiri yako itumie TBC , hii TV watu wameichoka mno !
Rais atatafutwa 2025!2020 na urais tuanze kutafuta atakayesimamishwa kuanzia sasa, si ccm si upinzani.
Acha uhuni!Kanisa la nabii Titus
Bunge haliwi live...... Yaani wewe acha tu inavyokeraKaribu! Ujumbe wa Pasaka ni kwamba mchakato wa kupata viongozi bora ,2018 yaani serikali ya mtaa na 2020 ubunge uanze sasa! Tusisubiri uchaguzi upite ndio tuanze kulaumiana!
Eeeeeeeeeeeee inasokitisha halafu MTU atatoka hapo eti kasali hayo mahubiri si ni hotuba za mikutano ya vyama vya siasa.Waumini wakiacha kusali watawalaumu? Kama mahubiri yenyewe ndio hayo?Kanisa katoliki Mwanjelwa Mbeya!
Kwa hiyo Yesu alimtuma aende ulimwenguni akachambe serikali? Kifo cha makanisa kinainyemelea Tanzania na ukiangalia makanisa ambayo yamejitosa siasa ni Yale yaliyoletwa na wamisionari toka ulaya ya katoliki na Lutheran ambako ulaya sasa hivi mengi matupu hayana Waumini shauri ya kuendekeza siasa. Kifo cha hayo makanisa toka ulaya kinayanyemelea .Ukiangalia makanisa ya kutoka nchi zingine nje ya ulaya kama marekani nk yaliyoko Tanzania hayapendi kuchanganya siasa kabisa .Haya ya kutoka ulaya kuna shida.Baba askofu ameichamba selikali yaani bila kuogopa