Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Tunasikitishwa na upendeleo wenu wa wazi mno kwa matukio ya CCM, sisi tunalipa kodi, leo kama hamtakwenda mbeya mtachukuliwa hatua za kisheria. Kwanza kiwango chenu cha habari kimeshuka sana, hamna mvuto. Hii ya Mbeya ndio nafasi yenu. Hamjui CDM itaja chukua nchi, mtakimbilia wapi. Kueni neutral.:caked:hone: