Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,140
- 1,983
Sijui nani wanamiliki TBC.Siku ya tarehe 18 Aprili kuklikuwa na mdahalo uliorushwa na TBC moja kwa moja na nilikuwa nikimsikiliza Profesa Palamagamba Kabudi akiwasilisha mada.Alikuwa akiongelea mchakato wa mabadiliko ya katiba toka mwaka 1962,1977,1984.Alipofika kwenye mchakato wa sasa hasa eneo la muundo wa serikali na kusema kuwa muundo wa Serikali Mbili au Tatu hautavunja Muungano bali Serikali ya Mkataba ghafla mitambo ikakatika.Wakaweka kipindi cha kumbukumbu ya Maalim Gurumo,historia ya Muungano baada taarab.Kwa nini TBC hawapendi watu wajue siasa na maendeleo ya nchi yao?Tumewachoka!