TBC imemuita nani hamnazo?

Huyo Shabaan Kisu ameshaongezeka Urefu au bado ni Mbilikimo ( Emolo ) vile vile?

Kuna Siku ( kabla hajawa DC ) Kipindi cha Awamu ya Nne ( ya Kikwete ) maeneo ya Sinza.

Lile Basi lilikuwa na Siti ndefu ila kwa Ssi Warefu Miguu yetu iliweza bado Kukanyaga chini vyema tu.

Miguu ya Shabaan Kisu ilikuwa ikielea tu ndani ya Basi lile kutokana na Umbilikimo wake.

Hakuutaka Watu wamjue ila Mimi alipokaribia Kushuka nikamuita kwa Jina lake na Kumsalimia Kiuchokozi.

Ila tu Jamaa ana Sauti nzuri Kuisikiliza.
 
Haaaa kuna dogo kaniulizaa kwa iyo Meko nfo hamnazo
 
Sasa hv anakula mshahara wa msafara wa rais hvy hata kazi ya TBC hana haja nayo, labla kupitia mshahara wa msafara wa rais utamfanya aongezeke urefu
 
Sasa hv anakula mshahara wa msafara wa rais hvy hata kazi ya TBC hana haja nayo, labla kupitia mshahara wa msafara wa rais utamfanya aongezeke urefu
Jamaa ' Keshaula ' Mkuu kwani nasikia kuwa ndiyo Official MC wa Shughuli zote za Mama ( Mheshimiwa Rais ) Samia Suluhu Hassan akichukua nafasi ya Yule Mzee wa aliyekuwa wa Mwendazake ( Hayati ) kutokea Mkoani Dodoma.
 
Inawezekana lakini kwenye suala la mbigili/mbigiri kuwa fatal, haisadifu uhalisia...
Unavyodharau mbigiri kuwa haziwezi kutoa uhai ndivyo hivyo hamnazo alivyodharau mwisho wa siku zikapita naye......
 
Jamaa ' Keshaula ' Mkuu kwani nasikia kuwa ndiyo Official MC wa Shughuli zote za Mama ( Mheshimiwa Rais ) Samia Suluhu Hassan akichukua nafasi ya Yule Mzee wa aliyekuwa wa Mwendazake ( Hayati ) kutokea Mkoani Dodoma.
Madaraka ya kutembea na msafara wa rais umemfanya awe na kiburi cha hali ya juu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…