Wadau ninaangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku,ninaona TBC1 wamecover maandamano ya CHADEMA mkoani shinyanga kwa muda wa kutosha na kwa kurudia rudia ile video,Je hii inaashiria TBC1 imejivua .gamba na kuanza kuzitendea haki kodi za watz kinyume na ilivyozoeleka kubania habari kama hzo?