tbc wanauma na kupuliza tu japokuwa leo kweli wameipa airtime ya kutosha hasa kwenye kale ka runinga kao kadogo maana walikuwa wanakarudiarudia, hiyo habari ilioneshwa na star tv jana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.