Igwamanoni
Member
- Apr 21, 2010
- 25
- 0
Nakumbuka siku moja nilisoma kama sio humu humu basi ni gazetini kuwa akili za watangazaji wa TBC ni kama za vijana wapoingia JKT Enzi za Mwalimu ilikuwa unapofika Geti kuu(main Gate)unaambiwa akili zako,digirii zako, shahada zakovyeti vyako ,vyeo vyako vyeo vya baba yako,acheni vyote hapo quarter Guard,hapa utatumia akili za kikosini na kuongozwa na MP.hivyo kila unachofanya ilihali unajua unakosea lakini utafanya bila kuuliza kwani sio akili yako Ukoambiwa DOWN unakwenda JUU na UKIAMBIWA UP unakwenda chini na hii ndio TBC.Ukweli na uhakika imebaki kuwa danganyatoto. TBC kazi yao ni kuipamba serikali hata kama haipambiki. Nafikiri bongo za wafanyakazi wa TBC hazifanyi kazi tena; hakuna professionalism kabisa. Upuuzi wao huu unathibitishwa pia na kutokusoma maoni ya watazamaji za wasikilizaji wanaoponda serikali kwa hoja. This is shame!!!!!!!!!
Hapa nadhani kuna ukweli fulani, maana ni siku nyingi sasa sijasikia magazeti haya yakisomwa kwenye vituo vya TV.Juzi pia gazeti la mwananchi lilioandika habari za masha kung'oa Vitasa jamaa alitaka kulisoma lakini akaichunia hiyo habari muhimu kabisa iliyokuwa ukurasa wa mbele kwa herufi KUUBWAAAA!
Halafu wanajamvi naona imepitishwa rasmi sasa vituo vyote vya TV kwamba ni marufuku kusoma magazeti ya Raia Mwema na Mwanahalisi siku ya Jumatano yanapotoka.
tbc ni utoko,kwa wasiojua utoko ni uchafu wa ndani ya govi kabla haujatahiliwa.
leo tena mtangazaji wa kipindi cha magazeti tbc 1 anajifanya hajui kusoma aliposhika mwananchi.anasoma utadhani porn star kabugia mpododo.unajua mwananchi habari kuu ni prof.shivji aponda baraza la jk kuwa ni la kulipana fadhila.anasoma ugoro eee,mhh kuhusu baraza la mawaziri...anafunga.mjinga huyu anadhani tunaangalia mzoga huo wa tbc? Pekee! Mwambieni star tv wanasoma hadi mwanahalisi
Taratibu ndugu! Huogopi :ban:Nilishawahi kusema kwamba watangazaji wote wa TBC1 ni makada wa ccm therefore sioni la ajabu,kuna yu
le msoma magazeti wao anaitwa JOE KIHAMPA,kwanza ana nywele hadi kwenye ulimi mpumbavu sana yule.
Huwezi ukakuta anasoma mwanachi ,tanzania daima au mwanahalisi,lakini uhuru atalisoma hadi picha na m
atangazo yake,mbwa mkubwa wee kihampa,kama vile unaliwa uroda na makamba!