Wazee wa NYUFA ZA KUPUMUA.wanajitetea
Mkuu mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote....Acha uongo wako mkuu kuanzia lini wewe ulihama ccm
Na mimi pia nasikia amenyimwa dhamanaAliyepiga hizo picha nadhani yupo rumande
Nasikia harufu ya utumbuzi usiku huu huu!!wanajitetea
Atasema " ufa" mkubwa ameutoa wapi!!Na mimi pia nasikia amenyimwa dhamana
Kumbe hata yale magorofa pacha ya bandarini nayo yalipumua sasa cjui haya yatapumua kwa muda gani?Tanzania tushafanywa sote wajinga toka trioni 400 mpk bil 700 hahaaaaa my footJamaa wanasema ile mipasuko sio nyufa,,,,waliacha hayo maeneo makusudi kwa ajili ya majengo kupumua
Ameshapata dhamana...jioni ya leo.Aliyepiga hizo picha nadhani yupo rumande
Wangeenda Azam 2 Kule Wana Uwezo Wa Kualika Mhandisi KabisaSamahani naomba kuuliza. Huyo TBA na TBC ndugu?
We Kubali Tu Ni Mana HarakatiAisee huyu mwakalinga ana matatizo eti zile picha ni Photoshop eti ni kawaida tuuu aisee huu ni ujinga na upuuzi kiki zingine hapana nooo kwa nini hii serikal inajiona kila kitu IPO sahh mm sio chadema wala ccm Mimi ni mzalendo vitu vingine ni ujinga na kuweka mioto katika mioyo ya watu kuna siku watasema noo . JPM look at yourself muda bado upo unaweza rekebisha matatizo unayoyaleta problems are there Mr but kubali kukosolewa ...... Over
Bado tunangoja nyufa za uwanja wa chatoWamekuwa ACTIVE ghafla baada ya expansion joint, wajiandae kutumbuliwa.
Hawa wahandisi wamenikumbusha Akachube road!!Ni Kawaida Tu Jaman ,,,NYIE MNATAKA ASEMEJE ILI KIBALUA KISIOTE NYASI
nyufa zinalindwa kama faru ndugai ili zisipigwe picha mara nyingine waulize wanafunzi kama unaweza kusogea eneo lenye ufa