figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,591
- 55,207
Nawapongeza wafanyakazi wa TAZARA kwa upande wa zambia kwa kuweza kutoa ushirikiano kwa chama cha upinzani na hatimae wamejikomboa.
Naamini hii itakuwa chachu katika taasisi mbalimbali TANZANIA ambazo zimeshindwa kutambua umuhimu wao katika harakati za ukombozi wa nchi yao dhidi ya mkoloni mweusi aliyejificha kwenye mwamvuli wa ccm, anaye potosha neno UJINGA kwa kuliita AMANI.
Mapambano yanaendelea hadi Africa ikombolewe kwa mala ya pili kupata uhuru wa kweli.
mia
Naamini hii itakuwa chachu katika taasisi mbalimbali TANZANIA ambazo zimeshindwa kutambua umuhimu wao katika harakati za ukombozi wa nchi yao dhidi ya mkoloni mweusi aliyejificha kwenye mwamvuli wa ccm, anaye potosha neno UJINGA kwa kuliita AMANI.
Mapambano yanaendelea hadi Africa ikombolewe kwa mala ya pili kupata uhuru wa kweli.
mia