RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,751
- 129,479
Jana kwa mara ya kwanza nimepita Tazara junction wakati flyover imekamilika. Kusema ukweli im impressed. Flyover ile ukiiona kwa macho ni tofauti na picha mitandaoni, iko vizuri sana.
Kingine nimeona wameacha nafasi kubwa katikati ni wazi wamezingatia BRT lanes zitakazokuja baadae, ningeshauri pale junction ya Nyerere/Kawawa napo waweke flyover kama hii hali itakuwa nzuri zaidi.
Imenikumbusha Chiswick Roundabout Flyover ya London ambayo iko kwenye barabara inaitwa A4 East bound. Muundo wake unafafana na wenye lugha yao wanaiita FLYOVER.
Kingine nimeona wameacha nafasi kubwa katikati ni wazi wamezingatia BRT lanes zitakazokuja baadae, ningeshauri pale junction ya Nyerere/Kawawa napo waweke flyover kama hii hali itakuwa nzuri zaidi.
Imenikumbusha Chiswick Roundabout Flyover ya London ambayo iko kwenye barabara inaitwa A4 East bound. Muundo wake unafafana na wenye lugha yao wanaiita FLYOVER.