KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Waziri Mkuu anaiporomoti wakati maandishi yamekosewa imepambwa utadhani ya wanamziki!!
http://www.tanzania50uhuru.go.tz/contacts.asp
http://www.tanzania50uhuru.go.tz/contacts.asp
Waziri Mkuu anaiporomoti wakati maandishi yamekosewa imepambwa utadhani ya wanamziki!!
50th Anniversary Independence of Tanzania Mainland
Yaani tovuti imekaa kama ya mtoto wa shule aliyosubmit kama project yake ili apate alama za kufaulu mtihani. Na wala sitaki kuuliza zimetumika kiasi gani hadi hapo ilipofikia....Ovyoo!
Kama ndo haujala lazima uanguke chini maana inaleta kizunguzungu!!maimage yavokimbia hatakusoma huwezi utadhani umepakiwa nyuma ya pikup!!!cheki nyigine hii ya TBC Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)
Madoido na yamekaa sehemu moja apka inkuwa kero.. hizo slide zinazotembea tebea zote ziko juu. HIvi hwaoni kama ni distraction.
Nenda kwenye link yao ya youtube yao uone vichekesho. Yaani TBC haina hata clip moja ya Audio au video. Yaani Tovuti ya TBC haina tofauti kimauhui na Tovuti ya gazeti kama la mwananchi au Daily news. Cha maana walichoweza kufanayni kweka plugin ya livecast ya tbc taifa na tbc fm. Hilo tu.
Lakini hii yote ama nilivyosea ni kutokanana kudevelop system bila kufutata utaratibu wa computer system development.
Sometimes credibility of those who sanction such projects are put into question, walienda shule gani?
Waziri Mkuu anaiporomoti wakati maandishi yamekosewa imepambwa utadhani ya wanamziki!!
50th Anniversary Independence of Tanzania Mainland