TAZAMA, Umepata Tafsiri gani?

TAZAMA, Umepata Tafsiri gani?

Dr Count Capone

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,879
Reaction score
3,299
Tazama, Fikiri na toa majibu
images%20(24).jpg
images%20(9).jpg
images%20(15).jpg
images%20(14).jpg
images%20(11).jpg
images%20(12).jpg
images%20(13).jpg
 
Picha hizo za kuchora na rangi zina maana nyingi zilizojificha...Yataka umakini katika kutanzua
 
Shehazadi na Sultana wake wanabebishana...
 
umejuaje haya usemayo
Sababu kuu mbili ya kwanza ni kutokana na matendo wanayofanya hapo inakupa picha au taswira fulani kuwa mchoraji alitaka kumaanisha hivi na hivi... Pili Nimewahi kuona picha nyingi za aina hiyo zenye mafumbo ambayo inahitaji umakini sana kuliko kuangalia kawaida
 
Sababu kuu mbili ya kwanza ni kutokana na matendo wanayofanya hapo inakupa picha au taswira fulani kuwa mchoraji alitaka kumaanisha hivi na hivi... Pili Nimewahi kuona picha nyingi za aina hiyo zenye mafumbo ambayo inahitaji umakini sana kuliko kuangalia kawaida


Umenikumbusha ile picha ya MONALISA
 
Hakika mkuu, mpaka Leo hakuna aliyeweza kuitolea maelezo kwa ukamilifu kuna fumbo gani limefumbwa pale!
umejuaje hakuna aliye itolea maelezo kwa ukamilifu

je ulijua dhamira ya mchoraji ama kipi kimekufanya uamini wote walio toa maelezo yake hawako sahihi

kama wafahamu hawako sahihi maana yake wewe wafahamu usahihi wa ile picha
 
umejuaje hakuna aliye itolea maelezo kwa ukamilifu

je ulijua dhamira ya mchoraji ama kipi kimekufanya uamini wote walio toa maelezo yake hawako sahihi

kama wafahamu hawako sahihi maana yake wewe wafahamu usahihi wa ile picha




Mkuu zipompa sio kwa maelezo yangu tu bali kulingana na wanazuoni wakubwa duniani including scholars and historians wamefafanua sana kuhusu picha hiyo hasa maudhui yake (context)!

Wanazuoni wote wanakubaliana kuwa mpaka leo hakuna aliyewahi kuifafanua picha hiyo kwa uhakika kuhusu kile hasa mchoraji mahiri artist Leonardo da Vinci alichotaka kueleza (portrait) kupitia sanaa yake hiyo!

Wengine wanabuni tu labda inaashiria miraculous creation of nature, wengine wanaeleza huenda ni mambo ya dini, wengine wanaeleza huenda kuna codes za siri kwenye picha ile ambazo dunia ikizijua itaweza kupata siri kubwa sana, wengine waifafanua kama fumbo mysterious!

Mkuu picha ya Monalisa imebaki kuwa mjadala mkubwa dunia kwa karne kadhaa, hebu jaribu ku- Google tu utapata mengi zaidi.
 
Before and after ladies are sugar sukarii
 
Yaani picha achore mwingine halafu aje aumize kichwa mwingine tu! Si ndio uchizi huo jamani nasema uongo ndugu zangu!?
 
Mkuu zipompa sio kwa maelezo yangu tu bali kulingana na wanazuoni wakubwa duniani including scholars and historians wamefafanua sana kuhusu picha hiyo hasa maudhui yake (context)!

Wanazuoni wote wanakubaliana kuwa mpaka leo hakuna aliyewahi kuifafanua picha hiyo kwa uhakika kuhusu kile hasa mchoraji mahiri artist Leonardo da Vinci alichotaka kueleza (portrait) kupitia sanaa yake hiyo!

Wengine wanabuni tu labda inaashiria miraculous creation of nature, wengine wanaeleza huenda ni mambo ya dini, wengine wanaeleza huenda kuna codes za siri kwenye picha ile ambazo dunia ikizijua itaweza kupata siri kubwa sana, wengine waifafanua kama fumbo mysterious!

Mkuu picha ya Monalisa imebaki kuwa mjadala mkubwa dunia kwa karne kadhaa, hebu jaribu ku- Google tu utapata mengi zaidi.
vp kama jamaa alichora na haina maana yoyote sema.wanazuoni.mawenge yao tu
 
Back
Top Bottom