Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,183
- 2,100
Video zimesambaa zikionesha usafirishaji wa haraka wa Pizza, ambapo mtu aliyevaa Jet Suit, ameonekana akipokea oda kutoka dukani, na kuipeleka kwa wateja huku akipaa ikiwa ni namna ya kuokoa muda na kuhakikisha ubora wa chakula
Ni baada ya Kampuni ya kutengeza Fast Foods ya Domino's ya Marekani kuungana na Gravity Industries kufanya majaribio ya kwanza duniani ya kusafirisha pizza kwa kutumia vifaa vya kuvaa vinavyoendeshwa na injini za roketi (jet suit) katika tamasha la #Glastonbury nchini Uingereza
Vifaa hivyo ambavyo gharama yake inakadiriwa kuwa zaidi ya Tsh. Milioni 900 vinahakikisha usalama wa rubani na kuhakikisha chakula kinakuwa safi na cha moto wakati wote wa usafirishaji
Chanzo: Mtandao