Katika ramani hiyo mimi nimechagua kuishi kanda ya kati kusini...mpakani mwa milima miwili kwenye uoto wa asili huku kukiwa na kisima kwa ajili ya malisho ya mfugo wangu........
Katika ramani hiyo mimi nimechagua kuishi kanda ya kati kusini...mpakani mwa milima miwili kwenye uoto wa asili huku kukiwa na kisima kwa ajili ya malisho ya mfugo wangu........
Khaaa.... Mkuu una uchaguzi muruaaa kabisa... Na mi nimechagua hapo hapo... Shy land anataka kuishi kanda ya kusini ya ramani... sijui atapata manufaa gani..
Khaaa.... Mkuu una uchaguzi muruaaa kabisa... Na mi nimechagua hapo hapo... Shy land anataka kuishi kanda ya kusini ya ramani... sijui atapata manufaa gani..
Khaaa.... Mkuu una uchaguzi muruaaa kabisa... Na mi nimechagua hapo hapo... Shy land anataka kuishi kanda ya kusini ya ramani... sijui atapata manufaa gani..
nchi gani ipo eneo la kupumulia ambako wakati wote harufu mbaya inanukia hapo? naona kama itakuwa ghana na nigeria na kushuka magharibi ya afrika hadi angola. ila tz tupo upande wa mbele kula anakofunga viatu.harufu hadi ije itukute hadi uzunguke.
nchi gani ipo eneo la kupumulia ambako wakati wote harufu mbaya inanukia hapo? naona kama itakuwa ghana na nigeria na kushuka magharibi ya afrika hadi angola. ila tz tupo upande wa mbele kula anakofunga viatu.harufu hadi ije itukute hadi uzunguke.
nimefikirisha ubongo kuliko wewe. akili yako wewe ilipoishia ni pale kuwaza kuwa wapi katika ramani hiyo pana utamu?nani yupo mahali paliponona penye asali....kumbe huo ni uzinzi tu. wengine tunawaza zaidi ya hapo penye utamu.