Tazama ramani mpya ya Africa..

HAHAHAHAHA Tamalisa pitia huku uje ujione tunavyofanya kazi wanaume wa mkoani.
 
Last edited by a moderator:
Katika ramani hiyo mimi nimechagua kuishi kanda ya kati kusini...mpakani mwa milima miwili kwenye uoto wa asili huku kukiwa na kisima kwa ajili ya malisho ya mfugo wangu........
 
Katika ramani hiyo mimi nimechagua kuishi kanda ya kati kusini...mpakani mwa milima miwili kwenye uoto wa asili huku kukiwa na kisima kwa ajili ya malisho ya mfugo wangu........
Khaaa.... Mkuu una uchaguzi muruaaa kabisa... Na mi nimechagua hapo hapo... Shy land anataka kuishi kanda ya kusini ya ramani... sijui atapata manufaa gani..
 
Last edited by a moderator:
Ina maana Africa tumeumbwa wa duara...
 
Nyie mwa copy tu. Wenzenu walitumia kwenye battle za Twitter, Kenya vs Nigeria
 
nchi gani ipo eneo la kupumulia ambako wakati wote harufu mbaya inanukia hapo? naona kama itakuwa ghana na nigeria na kushuka magharibi ya afrika hadi angola. ila tz tupo upande wa mbele kula anakofunga viatu.harufu hadi ije itukute hadi uzunguke.


Mkuu na we umefikirisha ubongo kweli... aya bana...
 
Mkuu na we umefikirisha ubongo kweli... aya bana...
nimefikirisha ubongo kuliko wewe. akili yako wewe ilipoishia ni pale kuwaza kuwa wapi katika ramani hiyo pana utamu?nani yupo mahali paliponona penye asali....kumbe huo ni uzinzi tu. wengine tunawaza zaidi ya hapo penye utamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…