nngu007 JF-Expert Member Aug 2, 2010 15,862 5,797 Jun 4, 2013 #1 JUN042013 Hivi ndivyo jinsi Albert Mangwair alivyopokelewa kwenye uwanja wa Dar-Es-Salaam International Airport. T.I.D ni mmoja wa wasanii aliyebeba jeneza la Albert Mangwair pale Dar-Es-Salaam International Airport.
JUN042013 Hivi ndivyo jinsi Albert Mangwair alivyopokelewa kwenye uwanja wa Dar-Es-Salaam International Airport. T.I.D ni mmoja wa wasanii aliyebeba jeneza la Albert Mangwair pale Dar-Es-Salaam International Airport.
Heaven on Earth JF-Expert Member Mar 21, 2013 37,226 26,639 Jun 4, 2013 #2 Baada ya kusuasua sana hatimaye mchana wa leo mwili wa mangwair umewasili jijin Dar es salaam na wadau kibao wamejitokeza kupokea mwili wa marehem RIP Ngwair........,
Baada ya kusuasua sana hatimaye mchana wa leo mwili wa mangwair umewasili jijin Dar es salaam na wadau kibao wamejitokeza kupokea mwili wa marehem RIP Ngwair........,
Msingida JF-Expert Member Dec 1, 2010 9,738 10,817 Jun 4, 2013 #3 R.I.p Ngwea. Bwana alitoa na Bwana alitwaa. Jina la Bwana lihimidiwe. Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
R.I.p Ngwea. Bwana alitoa na Bwana alitwaa. Jina la Bwana lihimidiwe. Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
kimaus JF-Expert Member May 10, 2011 565 652 Jun 4, 2013 #10 Nipo vingunguti hapa, watu hawaruhusu gari lililobeba maiti kutembea. Organizers hawakujipanga!
K kiluvya JF-Expert Member Nov 18, 2010 1,474 943 Jun 4, 2013 #11 Dah wapenzi wa ngwea wanasukuma gari lililobeda mwili...tangu gari limetoka geti la airpot saa tisa kasoro mpaka sasa bado halijafika tazara mataa....
Dah wapenzi wa ngwea wanasukuma gari lililobeda mwili...tangu gari limetoka geti la airpot saa tisa kasoro mpaka sasa bado halijafika tazara mataa....
K Kifarutz JF-Expert Member Aug 7, 2012 1,736 359 Jun 4, 2013 #12 Hivi nini kilisababisha kifo chake vile?
Heaven on Earth JF-Expert Member Mar 21, 2013 37,226 26,639 Jun 4, 2013 #13 kiluvya said: Dah wapenzi wa ngwea wanasukuma gari lililobeda mwili...tangu gari limetoka geti la airpot saa tisa kasoro mpaka sasa bado halijafika tazara mataa.... Click to expand... yes ............, watu wamejitokeza kwa wingi sana.....,
kiluvya said: Dah wapenzi wa ngwea wanasukuma gari lililobeda mwili...tangu gari limetoka geti la airpot saa tisa kasoro mpaka sasa bado halijafika tazara mataa.... Click to expand... yes ............, watu wamejitokeza kwa wingi sana.....,
Heaven on Earth JF-Expert Member Mar 21, 2013 37,226 26,639 Jun 4, 2013 #14 bily said: dah NO COMMENT RIP MWANACHEMBA Click to expand... sure hard to believe
Likwanda JF-Expert Member Jun 16, 2011 3,910 1,131 Jun 4, 2013 #15 Dah! Dunia kweli tunapita, R.I.P Mangwair.
mdeki JF-Expert Member Mar 28, 2011 3,300 466 Jun 4, 2013 #17 Dah! Inasikitishaaa Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
miss strong JF-Expert Member Jul 4, 2012 7,012 3,694 Jun 4, 2013 #20 Daaah Mungu awabariki mliofika kuupokea mwil wa ndugu yetu.....R.i.p bro!