Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,853
- 1,521
Mi nahisi alikuwa anawaambia kuwa "Kuanzia leo nafungia mabwawa yote ya kuogelea"
Matokeo walinzi huwa nje hawaruhusiwi ndani ya jengo.Hao ni watangaza matokeo ya uchaguzi baada ya ccm kulazwa chali wanapata amri toka juu kwa jiwe kichaa wapindue matokeo