Tazama harusi ya kigogo wa CHADEMA, Henry Kilewo alivyofunga ndoa na Joyce Kiria

Ameruhusiwa kufunga ndoa kanisani sababu joyce ameshafunga ndoa nyingine ndio maana wamebatilisha ndoa huwa hawavunji wanasema ndoa batili

Unbiblical. Sijui hata kama unaelewa ulisemalo. Nani wamebatilisha?
 
Sio roman hata kkkt na anglican sijui makanisa ya wokovu ila kwa haya madhebu yetu huwa hawavunji ndoa bali hubatilisha ndoa na mahakama ndio inavunja ndoa tena sababu kuu kama mmoja wa wanandoa amefunga ndoa nyingine bomani au amebadili dini ndio ubatilisha.
Pia kuna process ndefu sana mpaka ubatilisha ndoa inaweza chukua hata mwaka

1. KKKT? Kwani amefungia kanisa gani hiyo ndoa?
2. Kubatilisha ndoa wala sio siri. Mfano unafunga ndoa na binti. Baadaye unagundua kuwa ana ndoa halali na mwanaume mwingine waliyetengana. Hakika hiyo ndoa ya pili ni batili. Ama unaoa mwanamke. Anapofia chumbani anagundua kuwa jogoo hawiki na ni tatizo lako la muda mrefu, hiyo ndoa ni batili. Lakini si kwa sababu ya kuzabwa vibao. Ndoa bado inasimama.
3. Kufunga ndoa nyingine bomani ni kuishi katika uzinzi, na kubadili dini haijawahi, na wala haitawahi kuwa sababu ya talaka. Hizi ndio unaziita sababu kuu na kusifia makanisa yako? Soma biblia.

attachment.php


attachment.php


Cheti%2Bcha%2Bndoa.jpg



1486740_239965026179198_703462224_n.jpg
 
.......Hata mie nashangaa, ninavyojua ukishafunga ndoa kanisani huwa hakuna talaka.
Talaka inatolewa mahakamani na sio kanisani.
Labda kama mmoja wapo afe, ndipo utafunga tena ndoa ya kanisa.

Ndio maana mwanzo waliamua kufunga ndoa serikalini, sababu kanisa halikukubali.

Nashangaa tena inakuwaje wamerudi kanisani. Ila ndio makanisa ya kidoti.com.

nahisi umeongea kitu ambacho huna hakika kama unakifahamu vizuri. makanisa yote yana uwezo wa kubatilisha ndoa, ila procedures ndio zinatofautiana kwa makanisa. hata yale makanisa makubwa duniani (linaloongelewa hapa likiwa moja wapo) yanaweza kubatilisha ndoa. labda nikuulize kanisa/ dhehebu lipi hilo ambalo haliwezi kubatilisha ndoa?
 
1. KKKT? Kwani amefungia kanisa gani hiyo ndoa?
2. Kubatilisha ndoa wala sio siri. Mfano unafunga ndoa na binti. Baadaye unagundua kuwa ana ndoa halali na mwanaume mwingine waliyetengana. Hakika hiyo ndoa ya pili ni batili. Ama unaoa mwanamke. Anapofia chumbani anagundua kuwa jogoo hawiki na ni tatizo lako la muda mrefu, hiyo ndoa ni batili. Lakini si kwa sababu ya kuzabwa vibao. Ndoa bado inasimama.
3. Kufunga ndoa nyingine bomani ni kuishi katika uzinzi, na kubadili dini haijawahi, na wala haitawahi kuwa sababu ya talaka. Hizi ndio unaziita sababu kuu na kusifia makanisa yako? Soma biblia.

hata Catholics wanabatilisha kwa sababu za hapo juu ukiongeza na ile ya kwamba kama ikithibitishwa waliooana ni ndugu wa damu
 
nahisi umeongea kitu ambacho huna hakika kama unakifahamu vizuri. makanisa yote yana uwezo wa kubatilisha ndoa, ila procedures ndio zinatofautiana kwa makanisa. hata yale makanisa makubwa duniani (linaloongelewa hapa likiwa moja wapo) yanaweza kubatilisha ndoa. labda nikuulize kanisa/ dhehebu lipi hilo ambalo haliwezi kubatilisha ndoa?

Dhehebu lolote linalosimamia maandiko. Vinginevyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe
 
1. KKKT? Kwani amefungia kanisa gani hiyo ndoa?
2. Kubatilisha ndoa wala sio siri. Mfano unafunga ndoa na binti. Baadaye unagundua kuwa ana ndoa halali na mwanaume mwingine waliyetengana. Hakika hiyo ndoa ya pili ni batili. Ama unaoa mwanamke. Anapofia chumbani anagundua kuwa jogoo hawiki na ni tatizo lako la muda mrefu, hiyo ndoa ni batili. Lakini si kwa sababu ya kuzabwa vibao. Ndoa bado inasimama.
3. Kufunga ndoa nyingine bomani ni kuishi katika uzinzi, na kubadili dini haijawahi, na wala haitawahi kuwa sababu ya talaka. Hizi ndio unaziita sababu kuu na kusifia makanisa yako? Soma biblia.

attachment.php


attachment.php

DJ Nelly ana Sura Nzito kweli Bora Kamanda sura yake nyepesi.
 
mumeambiwa ndoa ya kwanza ilifungiwa kanisani,na hii ya pili imefungiwa bomani!! kha!vipi nyie makongosho?
 
1. KKKT? Kwani amefungia kanisa gani hiyo ndoa?
2. Kubatilisha ndoa wala sio siri. Mfano unafunga ndoa na binti. Baadaye unagundua kuwa ana ndoa halali na mwanaume mwingine waliyetengana. Hakika hiyo ndoa ya pili ni batili. Ama unaoa mwanamke. Anapofia chumbani anagundua kuwa jogoo hawiki na ni tatizo lako la muda mrefu, hiyo ndoa ni batili. Lakini si kwa sababu ya kuzabwa vibao. Ndoa bado inasimama.
3. Kufunga ndoa nyingine bomani ni kuishi katika uzinzi, na kubadili dini haijawahi, na wala haitawahi kuwa sababu ya talaka. Hizi ndio unaziita sababu kuu na kusifia makanisa yako? Soma biblia.

attachment.php


attachment.php


Cheti%2Bcha%2Bndoa.jpg



1486740_239965026179198_703462224_n.jpg


ungalituwekea mistari ya biblia , tungalikushukuru sana
 
Back
Top Bottom