Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,770
- 10,655
Ameruhusiwa kufunga ndoa kanisani sababu joyce ameshafunga ndoa nyingine ndio maana wamebatilisha ndoa huwa hawavunji wanasema ndoa batili
Unbiblical. Sijui hata kama unaelewa ulisemalo. Nani wamebatilisha?