Tazama harusi ya kigogo wa CHADEMA, Henry Kilewo alivyofunga ndoa na Joyce Kiria

Usimuache mume wa ujana wako....... Ukipigwa shavu la kushoto geuza na la Julia upigwe.... Kama mkono wako wa kushoto unakukosesha na uukate..... Vijana mnakwenda wapi??????
 
Jamani mwacheni huyo dada aolewe tena hiyo ndoa inabaraka kuliko hata hizo za kanisani, wengi wanaenda kanisani na sherehe kubwa kwa kujionyesha tu. hizo ndoa wanazofunga kama hawataki achana nazo zina amani sana maana kweli wanakua wamedhamiria kuishi pamoja, pia mimi binafsi naona sehemu kubwa BIBLIA inamkandamiza mwanamke, mwanamke avumilie kipigo, matusi, udhalilishaji wa kila hali eti asivunje ndoa asubiri hadi aone mumewe anazini, huo si ujinga, MWANAMKE INUKA, SIMAMA, CHUKUA HATUA
 
Mathayo 5:31-32
Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; 32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.

Haya maandiko umeyaandika mwenyewe, yasome vizuri "Kila mtu amwachaye mkewe isipokuwa kwa habari ya uasherati" neno (isipokuwa) linaleta maana gani ktk maandiko haya?
 
Kwa wakirsto mnaruhusiwa kufunga ndoa mara mbili kanisani, huyu mwanamke ameishawahi kufunga ndoa kanisani na DJ wa Clouds FM Nelly, au sheria zimefanyiwa marekebisho.
Katibu Mwenezi hili sio jukwaa la siasa, naona Umeona Chadema basi umechanganyikiwa. Mtumishi vipi bhana??
 
Kutengana kwa lengo la kulejeana ina maana gani?

Soma hili andiko:
1 Wakorintho 7:10-11


10 lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;

11 lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.
 
Mkuu pamoja na uelewa wangu finyu, hakuna andiko linaloruhusu talaka katika biblia takatifu. Onesha hicho kifungu ili nami nipanue uelewa wangu.
Mkuu nimesema kuna watu wana uelewa mfinyu, lakini hakuna sehemu nimekutaja wewe.
 
Jamani mwacheni huyo dada aolewe tena hiyo ndoa inabaraka kuliko hata hizo za kanisani, wengi wanaenda kanisani na sherehe kubwa kwa kujionyesha tu. hizo ndoa wanazofunga kama hawataki achana nazo zina amani sana maana kweli wanakua wamedhamiria kuishi pamoja, pia mimi binafsi naona sehemu kubwa BIBLIA inamkandamiza mwanamke, mwanamke avumilie kipigo, matusi, udhalilishaji wa kila hali eti asivunje ndoa asubiri hadi aone mumewe anazini, huo si ujinga, MWANAMKE INUKA, SIMAMA, CHUKUA HATUA

Ajabu hapa ni pale anaporudi tena kufungwa kwenye minyororo ya biblia. Si alishafunga ndoa bomani? Kwa nini amerudi tena kwenye utumwa wa biblia.
 
Jamani mwacheni huyo dada aolewe tena hiyo ndoa inabaraka kuliko hata hizo za kanisani, wengi wanaenda kanisani na sherehe kubwa kwa kujionyesha tu. hizo ndoa wanazofunga kama hawataki achana nazo zina amani sana maana kweli wanakua wamedhamiria kuishi pamoja, pia mimi binafsi naona sehemu kubwa BIBLIA inamkandamiza mwanamke, mwanamke avumilie kipigo, matusi, udhalilishaji wa kila hali eti asivunje ndoa asubiri hadi aone mumewe anazini, huo si ujinga, MWANAMKE INUKA, SIMAMA, CHUKUA HATUA

Ajabu hapa ni pale anaporudi tena kufungwa kwenye minyororo ya biblia. Si alishafunga ndoa bomani? Kwa nini amerudi tena kwenye utumwa wa biblia.
 
Nilishakuwa mwandishi wa habari kusema mume aliandaa sherehe ndogo ya watu wachache sana ni uwongo kwa wachagga. Wachaga harusi ni issue kubwa Useme hivi "ndugu na marafiki waliiisusia hiyo harusi na waligoma kuchanga hivyo zigo likamwangukia mume peke yake"!!! Usilete uwongo.

Sasa hao maharusi ni wachaga?
 
Soma hili andiko:
1 Wakorintho 7:10-11


10 lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;

11 lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.

Kama ni hivyo sawa, maana hapa nilipo sina Biblia. Nilifikiri umenukuu ule mstari unaohusu maombi na kufunga.
 
Kama ni hivyo sawa, maana hapa nilipo sina Biblia. Nilifikiri umenukuu ule mstari unaohusu maombi na kufunga.
mimi naono BIBLIA inamamapana sana na tatizo kubwa wengi tunashindwa kuifafanua bali tunanukuu tu vifungu. hapo ndio tunapopotezana,, tumuombe Mungu atusaidi
 
Haya maandiko umeyaandika mwenyewe, yasome vizuri "Kila mtu amwachaye mkewe isipokuwa kwa habari ya uasherati" neno (isipokuwa) linaleta maana gani ktk maandiko haya?
isipokua = except.

Yaani mengine yamekatazwa ila kwa hilo lilolotajwa "RUKSA"
 
mimi naono BIBLIA inamamapana sana na tatizo kubwa wengi tunashindwa kuifafanua bali tunanukuu tu vifungu. hapo ndio tunapopotezana,, tumuombe Mungu atusaidi
Wale wanafunzi wake Yesu waliokua nae "live" muda mwingi walikua hawamwelewi jamaa kwa maneno yake ya mafumbo,

Sasa sishangai Sisi wa kizazi cha baada ya miaka 2000 kupita tunaomsoma kupitia maandishi yaliyotafsiriwa na mwanadamu kutomuelewa!!
 
mimi naono BIBLIA inamamapana sana na tatizo kubwa wengi tunashindwa kuifafanua bali tunanukuu tu vifungu. hapo ndio tunapopotezana,, tumuombe Mungu atusaidi

Kweli ndiyo maana hata watumishi feki wanatumia BIBLIA hiyo hiyo kufanikisha mambo yao. Ni muhimu sana watu kuisoma biblia na kuwa na uelewa wa maandiko ili usiangukie kwenye udanganyifu.
 
Jamani mwacheni huyo dada aolewe tena hiyo ndoa inabaraka kuliko hata hizo za kanisani, wengi wanaenda kanisani na sherehe kubwa kwa kujionyesha tu. hizo ndoa wanazofunga kama hawataki achana nazo zina amani sana maana kweli wanakua wamedhamiria kuishi pamoja, pia mimi binafsi naona sehemu kubwa BIBLIA inamkandamiza mwanamke, mwanamke avumilie kipigo, matusi, udhalilishaji wa kila hali eti asivunje ndoa asubiri hadi aone mumewe anazini, huo si ujinga, MWANAMKE INUKA, SIMAMA, CHUKUA HATUA

Ajabu hapa ni pale anaporudi tena kufungwa kwenye minyororo ya biblia. Si alishafunga ndoa bomani? Kwa nini amerudi tena kwenye utumwa wa biblia.
 
Kuna watu wana uelewa finyu kuhusu Biblia, ukiisoma vizuri utagundua kuwa inaruhusu Talaka ila kwa mashariti magumu. Maana maandiko yanasema; Mtu asimuache Mkewe/Mmewe isipokuwa kwa Uzinzi, kwa kosa la uzinzi mwanandoa aweza kumuacha mwenza wake, lakini mchakato huu utafanya na kanisa pamoja na wanandoa wenyewe kuanzia ngazi ya chini mpaka ngazi ya juu. Katika Ukristo ndoa ni kitu kinacho heshimika sana tofati na dini nyingine ambazo unaoa leo baada ya mwezi 1 ukijisikia kutoa talaka unatoa.

Huo mchakato wa Kanisa wa kutoa Talaka mchakato wake unaainishwa na aya gani ?.....toa ushahidi ?
Unaujua utaratibu/mchakato wa dini nyingine wa kutoa Talaka ?....au kuropoka ?
 
Chadema kaz kuiba wake za watu tuu,kanisani ukifunga ndoa ni kifo pekee ndo ktakachowatenganisha,huyu mchGa shetan ana uchu na gegedo dats y kahalilish ndoa mara ya pili na alipotupa proposal kanisan akakataliwa ndo akaamua kwenda boman,poor Kilewo en Kilia
 
Back
Top Bottom