simba wa dodoma
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 925
- 1,010
- Thread starter
- #41
kweli ndugu yaan ukishaona bei bora umwambie kabisa hela ikizidi zaidi ya hapo utoi bora upande daladala tu maana ni wiz sasaBora umenistua mkuu....mimi ni mteja wao,bora nianze kuelewana na dereva nje ya huo mfumo wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app