YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
wakuu nasikia ukinunua gari unguja kujanalo tanganyika ya zamani kuna kodi ambazo hupaswa kulipia, ambazo ni tofauti ya tozo za kodi kati ya unguja na ex-tanganyika. <br />
<br />
Kwakuwa sheria hazifuatwi nchi hii, hata nikifuatilia details za sheria za kodi haisaidii sababu ni tofauti na real practice . Hivyo naomba mdau mwenye uzoefu na hili atupe insights ya makadirio ya gharama za kodi zinatozwa ex-tanganyika ukiingiza gari ambayo imelipiwa ushuru unguja haswa kwa gari ndogo.
<br />
Kwakuwa sheria hazifuatwi nchi hii, hata nikifuatilia details za sheria za kodi haisaidii sababu ni tofauti na real practice . Hivyo naomba mdau mwenye uzoefu na hili atupe insights ya makadirio ya gharama za kodi zinatozwa ex-tanganyika ukiingiza gari ambayo imelipiwa ushuru unguja haswa kwa gari ndogo.