environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Watu wengi wamelalamika kutokana na muda mfupi wa tangazo la mkutano.Lakini pamoja watu wamemwelewa vizuri sana mheshimiwa mbowe.kulikuwa na maswali ya papo kwa hapo.Lakini kwa kweli jinsi mbowe na mbunge wa nyamagana walivyokuwa na upeo wa juu wa uelewa.Ilitufanya kuanzisha tawi la chadema hapo hapo.Mungu wabariki watu wenye kujitoa sadaka ili kuiponya nchi yetu Tanzania.