Desert Voice
Senior Member
- Feb 26, 2018
- 159
- 410
japo ni bahati lakini unapokuwa umecheza mala nyingi zaidi ndio nafasi ya ushindi inaongezeka!!cha kujiuliza kwanini wengi wanodai wameshinda wanasema mala nimechza 500 ama 1000!!tuukwanini wanle wanaocheza labda laki moja??na mala nyingi unakuta washindi wengi ni wale watu wa maisha ya chini kabisa?!!!mala mama lishe,mbeba mizigo sokoni!!!!!Unajua maana ya bahati?
Mwenyewe nashangaa hapo kwa washindi. Konda, dereva wa school bus, mama wa nyumban etc ndio wanakua washindijapo ni bahati lakini unapokuwa umecheza mala nyingi zaidi ndio nafasi ya ushindi inaongezeka!!cha kujiuliza kwanini wengi wanodai wameshinda wanasema mala nimechza 500 ama 1000!!tuukwanini wanle wanaocheza labda laki moja??na mala nyingi unakuta washindi wengi ni wale watu wa maisha ya chini kabisa?!!!mala mama lishe,mbeba mizigo sokoni!!!!!
WAJINGA TU NDIO WALIWAO MKUU.Heading Yangu imeweka angalizo ili kuepuka kuharibu biashara za watu.
Lengo la mada hii nataka sote wacheza kamari tuijadili
Hii kampuni ya TatuMzuka.
Wanadai kuwa kila ushindi wa Jackpot unatokana na namba tatu za Bahati, Mimi nimecheza zaidi ya Mara 50 kila wiki nikicheza zaidi ya ticket 90 ina maana ktk ticket zote hizo zijawahi kupatia namba za Bahati hata Mara moja tu?
Hapo ndo nimeleta hili jambo tujadili pamoja,karibuni wakuu.
Heading Yangu imeweka angalizo ili kuepuka kuharibu biashara za watu.
Lengo la mada hii nataka sote wacheza kamari tuijadili
Hii kampuni ya TatuMzuka.
Wanadai kuwa kila ushindi wa Jackpot unatokana na namba tatu za Bahati, Mimi nimecheza zaidi ya Mara 50 kila wiki nikicheza zaidi ya ticket 90 ina maana ktk ticket zote hizo zijawahi kupatia namba za Bahati hata Mara moja tu?
Hapo ndo nimeleta hili jambo tujadili pamoja,karibuni wakuu.
Wewe ni wale waleYaan kitu kinachorudisha watanzania nyuma ni.kudhani kila kitu ni utapeli, hakuna kitu kitakuja kuendelea Tanzania, tatu mzuka hao wameshakueleza ni bahati nasibu unasema matapeli, inaonekana neno kutapeli limeshuka hadhi yake hahah