Tatu Chafu ndani ya CCM na Upinzani kuelekea Uchaguzi 2020

Kura yangu iliisha kuwapa upinzani uchaguzi wa 2015 baada ya hapa sitawapa tena kura yangu baada ya kuwajua ni makanjanja ya kisiasa tu.

Mkuu hamna mtu anahitaji kura yako, kama unaona kura yako ni kubwa kama nyumba ingia ukae humo ndani maana hamna mpinzani anaihitaji. Tena ikibidi na za ukoo wako waambie wasiwape wapinzani. Wape ccm ili uwaepushe na aibu ya kuwatumia polisi kutangazwa washindi.
 
Ndani ya CCM kumekuwa na karata Tatu Chafu kutegemeana na wakati husika au utawala uliopo madarakani kwa wakati huo. Makundi hayo ya karata tatu huundwa na watu wenye maslahi makuu matatu. Na hawa huwa makada wakuu wa msimu kulingana na utawala husika.

1. Kuna wana CCM ambao huwa CCM KWELIKWELI kutokana na kiongozi aliyepo wakati huo kuyakumbuka matumbo yao.kwa maslahi makubwa zaidi. Hawa hutengeneza nyimbo za kusifu na kuabudu wakati wote wa utawala huo huku wakikandamiza wengine.hawa mfanowe ni akina benson bana dr wa udsm ambaye alipata ulaji mwingi wakati wa kikwete. Leo hii huwezi msikia sana akiizungumzia CCM na serikali iliyopo madarakani.

Kundi hili pia hushabikia mgombea aliyepo kwa kuangalia dini,kabila au kanda atokeayo mgombea huyo.humu ndani alikuwepo faiza foxy.huyu alilazimika kumtetea sana kikwete sababu ya dini tu. Leo hana hamu kabisa na dr magufuli.

Hili kundi hutegemea vyeo vikubwa vikubwa na wanapokosa huwa hawana furaha na wakati mwingine huanzisha harakati against aliyepo madarakani.mfano bernard membe, january makamba,mzee makamba,kinana na nape. Wapo pia akina kikwete yeye ni kwa ajili ya watu wake zaidi.

2. Kundi lingine ni kund lile lenye umasalia wa Awamu ya kwanza. Hawa wazee akina Bujiku, Warioba n.k. hawa huwa nao wapo wakijitahidi sana kuwa neutral kulingana na serikali iliyopo madarakani. Hukengeuka wakati flani lakini dhamira huja wasuta wakakaa sawa. Wameamua kunyamaa.hawataki shari. Hugugumia kimya kimya

3. Kundi lingine ni lile ambalo lenyewe linaangalia tu CCM .hili ni kundi ambalo lina watu ambao wanapata tumaslahi tudogo tudogo wakiwa ccm. Hawana makuu. Hawana adui wala rafiki wa kudumu ndani ya chama. Wakielekezwa wambwekee x watambwekea ili mradi wapate chakula.na wakibadilishiwa owner mwingine huambatana naye na kuweza mbwekea hata yule wa zamani. Akina musukuma,kibajaji...hawa wanajua wao mwisho wao ni ubunge tu.na vyeo vingine mbali na ubunge. Hawa hutungiwa nyimbo za kusifu na kuabudu na wakati mwingine hawajui hata maana ya maneno ktk nyimbo hizo.ila huimba na kuruka ruka wakitimua vumbi kwa wengine

NJE YA CCM Kwa wapinzani kuna TATU CHAFU PIA.

1. Kundi la wapinzani wa msimu.hawa humpinga kiongozi aliyepo madarakani kwa sababu kadhaa kama vile maslah,dini tofauti,kabila au kanda.akiwepo ambaye wanapishana naye wataibuka mafichoni na kumwandama kwa harakati na matamko lukuki. Mfanowe ni zitto kabwe. Toka magufuli ampe kisogo amekuwa na uchungu mwingi moyoni na kutamani kisasi sababu alitumika vizuri 2015 kuyumbisha upinzani.ila hajalipwa kutokana na kazi yake njema aliyotenda dhidi ya upinzni hasa UKAWA.

2. WAPINZANI ASILIA. Hawa ni wapinzani wanaoichukia CCM no matter what ccm does wao hawaitaki.hawa ni akina Tundu Lissu et al. Hawa watapinga CCM hata iweje na mara nying hawanunuliki.

3. Upinzani hohehahe... Hawa hupinga pale tu maslahi yao yanapoguswa hapo hurusha vumbi na mawe kuelekea CCM lakini mambo yao yakiwa shwari huwa hawataki shari na mtu. Wapo ndani ya upinzani naomba nisiwataje maana wengine no viongozi wakubwa wa vyama. Na wanaaminika na wananchi flani kuwa ni wakombozi.
OP
 
Ndani ya CCM kumekuwa na karata Tatu Chafu kutegemeana na wakati husika au utawala uliopo madarakani kwa wakati huo. Makundi hayo ya karata tatu huundwa na watu wenye maslahi makuu matatu. Na hawa huwa makada wakuu wa msimu kulingana na utawala husika.

1. Kuna wana CCM ambao huwa CCM KWELIKWELI kutokana na kiongozi aliyepo wakati huo kuyakumbuka matumbo yao.kwa maslahi makubwa zaidi. Hawa hutengeneza nyimbo za kusifu na kuabudu wakati wote wa utawala huo huku wakikandamiza wengine.hawa mfanowe ni akina benson bana dr wa udsm ambaye alipata ulaji mwingi wakati wa kikwete. Leo hii huwezi msikia sana akiizungumzia CCM na serikali iliyopo madarakani.

Kundi hili pia hushabikia mgombea aliyepo kwa kuangalia dini,kabila au kanda atokeayo mgombea huyo.humu ndani alikuwepo faiza foxy.huyu alilazimika kumtetea sana kikwete sababu ya dini tu. Leo hana hamu kabisa na dr magufuli.

Hili kundi hutegemea vyeo vikubwa vikubwa na wanapokosa huwa hawana furaha na wakati mwingine huanzisha harakati against aliyepo madarakani.mfano bernard membe, january makamba,mzee makamba,kinana na nape. Wapo pia akina kikwete yeye ni kwa ajili ya watu wake zaidi.

2. Kundi lingine ni kund lile lenye umasalia wa Awamu ya kwanza. Hawa wazee akina Bujiku, Warioba n.k. hawa huwa nao wapo wakijitahidi sana kuwa neutral kulingana na serikali iliyopo madarakani. Hukengeuka wakati flani lakini dhamira huja wasuta wakakaa sawa. Wameamua kunyamaa.hawataki shari. Hugugumia kimya kimya

3. Kundi lingine ni lile ambalo lenyewe linaangalia tu CCM .hili ni kundi ambalo lina watu ambao wanapata tumaslahi tudogo tudogo wakiwa ccm. Hawana makuu. Hawana adui wala rafiki wa kudumu ndani ya chama. Wakielekezwa wambwekee x watambwekea ili mradi wapate chakula.na wakibadilishiwa owner mwingine huambatana naye na kuweza mbwekea hata yule wa zamani. Akina musukuma,kibajaji...hawa wanajua wao mwisho wao ni ubunge tu.na vyeo vingine mbali na ubunge. Hawa hutungiwa nyimbo za kusifu na kuabudu na wakati mwingine hawajui hata maana ya maneno ktk nyimbo hizo.ila huimba na kuruka ruka wakitimua vumbi kwa wengine

NJE YA CCM Kwa wapinzani kuna TATU CHAFU PIA.

1. Kundi la wapinzani wa msimu.hawa humpinga kiongozi aliyepo madarakani kwa sababu kadhaa kama vile maslah,dini tofauti,kabila au kanda.akiwepo ambaye wanapishana naye wataibuka mafichoni na kumwandama kwa harakati na matamko lukuki. Mfanowe ni zitto kabwe. Toka magufuli ampe kisogo amekuwa na uchungu mwingi moyoni na kutamani kisasi sababu alitumika vizuri 2015 kuyumbisha upinzani.ila hajalipwa kutokana na kazi yake njema aliyotenda dhidi ya upinzni hasa UKAWA.

2. WAPINZANI ASILIA. Hawa ni wapinzani wanaoichukia CCM no matter what ccm does wao hawaitaki.hawa ni akina Tundu Lissu et al. Hawa watapinga CCM hata iweje na mara nying hawanunuliki.

3. Upinzani hohehahe... Hawa hupinga pale tu maslahi yao yanapoguswa hapo hurusha vumbi na mawe kuelekea CCM lakini mambo yao yakiwa shwari huwa hawataki shari na mtu. Wapo ndani ya upinzani naomba nisiwataje maana wengine no viongozi wakubwa wa vyama. Na wanaaminika na wananchi flani kuwa ni wakombozi.
Lile kundi la kwanza yupo Faizafoxy,Ritz,Mohamed Said,Big Show,Rejao,faby nk...Huipenda Ccm kiongozi mkuu akiwa ustaadh.
Kipindi Ccm ikiongozwa na mwenye jina la kigalatia basi wao huamia cuf ama kwa sasa Act wazalendo.

Kundi la pili kwa wapinzani ,kuna kina Zitto na wengine kama kina lipumba ambao siasa zao za kiupinzani huwa imara zaidi kiongozi wa nchi akitokea dini tofauti na ya kwao.
 
Zitto hiyo 2015 mlishamfukuza chadema, chama chake kipya kilikuwa na mgombea urais na wagombea ubunge karibu kila jimbo. Wajibu wake ilikuwa kukisaidia chama chake, ulitaka akampigie debe lowasa?!
Bwashee kajipange kivingine.
uelewa wako ni mdogo Sana ,hujui hata mleta mada nini kamaanisha
 
Lile kundi la kwanza yupo Faizafoxy,Ritz,Mohamed Said,Big Show,Rejao,faby nk...Huipenda Ccm kiongozi mkuu akiwa ustaadh.
Kipindi Ccm ikiongozwa na mwenye jina la kigalatia basi wao huamia cuf ama kwa sasa Act wazalendo.

Kundi la pili kwa wapinzani ,kuna kina Zitto na wengine kama kina lipumba ambao siasa zao za kiupinzani huwa imara zaidi kiongozi wa nchi akitokea dini tofauti na ya kwao.
Very true
 
Uchambuzi mzuri. Lakini je tufanye nini ili kuondoa Tanganyika ktk unafki ?!.
Mimi naona tatizo letu kubwa ni aina ya katiba tuliyonayo. Katiba inayomuumba mungumutu . Asiyewajibika kwa wananchi bali mamlaka yake
katiba yetu ina dosari kubwa. Mtawala akishika dola, hadhibitiki kichama, wala kibunge au kimahakama. Mzizi wa dola umejikita chini mno.
 
Bob mbona umepanic sana.😁😁😁😁😁 Just relax haya mambo hayahitaji hasira.unajibu tu kwa hoja wala si ugomvi.

Mchumia tumbo tu wewe, leo ushindwe kuwataka viongozi wa upinzani uogope nini wewe mwenye roho mbaya hivyo?? Sema huma vja kuwasingizia ushindwe.
 
Umetoa mifano sahihi kabisa. Na hao watu waliondoka CCM na kikwete kwa sasa huwasikii tena mpaka nadhani 2025 akija wa imani yao.

Lile kundi la kwanza yupo Faizafoxy,Ritz,Mohamed Said,Big Show,Rejao,faby nk...Huipenda Ccm kiongozi mkuu akiwa ustaadh.
Kipindi Ccm ikiongozwa na mwenye jina la kigalatia basi wao huamia cuf ama kwa sasa Act wazalendo.

Kundi la pili kwa wapinzani ,kuna kina Zitto na wengine kama kina lipumba ambao siasa zao za kiupinzani huwa imara zaidi kiongozi wa nchi akitokea dini tofauti na ya kwao.
 
Back
Top Bottom