Tatoo JWTZ

Tatoo JWTZ

:A S 39:
A%20S%2039.gif
A%20S%2039.gif
 
Kwani wakati anachora alikuwa anafikiria nini? Alafu tunaweza kutatua issue ya tatoo kumbe ana mapungufu mengine kama kutokuwa na uvungu katika miguu yake, Alafu zile nywele kwenyr njia ya haja kubwa kama zimeondolewa kwa namna yoyote ile hatakwenda jeshini
 
Kwani wakati anachora alikuwa anafikiria nini? Alafu tunaweza kutatua issue ya tatoo kumbe ana mapungufu mengine kama kutokuwa na uvungu katika miguu yake, Alafu zile nywele kwenyr njia ya haja kubwa kama zimeondolewa kwa namna yoyote ile hatakwenda jeshini

Aisee hii sijawahi kusikia, kwa wanaume na wanawake au?
 
sheke well before use,mchezea zuri baya humfika na mchuma janga hula na wakwao
 
Wasalaam
wakuu

nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...

Nawasilisha

Mpeleke Lumumba!..
 
mambo ya kuiga iga yamemponza bwana mdogo.
hata akipata wataalamu wa kufuta hizo tatoo huwa hazifutiki kwa 100% so jeshini watamgundua tuu hakuna jinsi kwani huwa wanafanya inspection tena inafanywa na watu wazoefu.
 

Tatoo ni kiwango cha juu cha utovu wa nidhamu. Hata wewe jaribu kufikiria kama wewe ni mwanaume unakutana na mwanamke ana tatoo makalioni anakwambia kuwa anakupenda sana sidhani kama utakuwa na haja naye. Nidhamu ya Jeshi imeenda mbali zaidi inaanzia na mambo madogo madogo kama tatoo. Ushauri wangu ni kwamba mpe mtaji aanze maisha.

Bubu msemaovyo nimeipenda comment yako. Umezungumza ukweli kabisa. Natamani mkuu wa majeshi angeiona comment yako, angetafuta cha kukuzawadia. Safi sana, umeongea kweli tupu
 
Wasalaam
wakuu

nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...

Nawasilisha

Huyo dogo anaependa jeshi ni kabila gani?
 
Mwambie apige pasi ya moto hapo had mwakani atakuwa amepona na ataenda kama kovu tu la kidonda.

Kama ulikuwa haujui jeshini hata kavu kubwa hawataki,ujana maji ya moto kila kibaya unaona kizuri.
 

Tatoo ni kiwango cha juu cha utovu wa nidhamu. Hata wewe jaribu kufikiria kama wewe ni mwanaume unakutana na mwanamke ana tatoo makalioni anakwambia kuwa anakupenda sana sidhani kama utakuwa na haja naye. Nidhamu ya Jeshi imeenda mbali zaidi inaanzia na mambo madogo madogo kama tatoo. Ushauri wangu ni kwamba mpe mtaji aanze maisha.

Kuna shemeji yangu wa Kike ni mzuri sana, siku ya kwanza kumwona nili-appreciate na kumsifu sana Mdogo wangu kwa kuchagua chuma cha nguvu, figure imetulia, anaongea kwa madaha na pose za kidada hasa!

maskini kesho yake asbh akiwa ndo ametoka kuamka alivaa T-shirt bahati mbaya nikagundua kuwa alikuwa amechorwa TATOO kwenye bega la mkono wake wa kulia si tatuoo mbaya ni ya jjina lake....

Kwa kweli kuanzia hapo kiukweli nilimshusha thamani na kumpa thamani halisi ya uhuni wa kiwango cha juu!

Nashukuru leo nimejua maana halisi ya tatoo kuwa ni uhuni wa kiwango cha juu!
 
Last edited by a moderator:
Hapa napo kuna jambo la kujifunza. Sio tu kwa aliyeombewa ushauri, bali hata kwa tuliobaki (tusio na timr na jeshi). Huyu kijana atasemwa kwa mengi, lakini na sisi tujiangalie - maana mengine tunajijua wenyewe - yaani heri ya mwenye tattoo, inawezekana hata amebadilika saivi na amekoma.

Wengineo sasa, bado mnatisha kuliko maelezo.
 
akiiondoa kwakupitia pasi ya moto bado pia watajua..wana jeshi wana pima vitu vingi..
watamuuliza pasi ilifikaje uko juu begani..ooh nilipigana,,(wananote tu) afu inshort wanakumaliza kwakukuambia jeraha ni kubwa,,hutoweza kustahimiri mazingira tofaut
 
Wenye makovu makubwa pia hawapokelewi kaka kama ulikuwa hujui

Hapo inategemea na ukubwa wa tattoo yenyewe pia..na maeneo ilipo, kama ni ndogo watamchukua tu ndugu.
 
sasa kwanini uwekee tatoo wakati unajua wataka geshi. mia
 
Back
Top Bottom