TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
:A S 39:
Mwambie aifute kwa kuchora bendera ya taifa labda atafikiriwa.
Kwani wakati anachora alikuwa anafikiria nini? Alafu tunaweza kutatua issue ya tatoo kumbe ana mapungufu mengine kama kutokuwa na uvungu katika miguu yake, Alafu zile nywele kwenyr njia ya haja kubwa kama zimeondolewa kwa namna yoyote ile hatakwenda jeshini
Wasalaam
wakuu
nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...
Nawasilisha
Tatoo ni kiwango cha juu cha utovu wa nidhamu. Hata wewe jaribu kufikiria kama wewe ni mwanaume unakutana na mwanamke ana tatoo makalioni anakwambia kuwa anakupenda sana sidhani kama utakuwa na haja naye. Nidhamu ya Jeshi imeenda mbali zaidi inaanzia na mambo madogo madogo kama tatoo. Ushauri wangu ni kwamba mpe mtaji aanze maisha.
Wasalaam
wakuu
nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...
Nawasilisha
Mwambie apige pasi ya moto hapo had mwakani atakuwa amepona na ataenda kama kovu tu la kidonda.
Tatoo ni kiwango cha juu cha utovu wa nidhamu. Hata wewe jaribu kufikiria kama wewe ni mwanaume unakutana na mwanamke ana tatoo makalioni anakwambia kuwa anakupenda sana sidhani kama utakuwa na haja naye. Nidhamu ya Jeshi imeenda mbali zaidi inaanzia na mambo madogo madogo kama tatoo. Ushauri wangu ni kwamba mpe mtaji aanze maisha.
Mwambie apige pasi ya moto hapo had mwakani atakuwa amepona na ataenda kama kovu tu la kidonda.
Wenye makovu makubwa pia hawapokelewi kaka kama ulikuwa hujui
Aisee hii sijawahi kusikia, kwa wanaume na wanawake au?