Real Estate Projects
Member
- Sep 6, 2013
- 15
- 1
Wasalaam
wakuu
nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...
Nawasilisha
wakuu
nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...
Nawasilisha