Tatoo JWTZ

Tatoo JWTZ

Joined
Sep 6, 2013
Posts
15
Reaction score
1
Wasalaam
wakuu

nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...

Nawasilisha
 
"Asiefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu" kaka mtu unahangaika na nini? Mwambie wakamfute haohao walomchora!
 
Hata akifuta bado watajua tu pole yake
 
Wasalaam
wakuu

nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...

Nawasilisha

Tatoo ni kiwango cha juu cha utovu wa nidhamu. Hata wewe jaribu kufikiria kama wewe ni mwanaume unakutana na mwanamke ana tatoo makalioni anakwambia kuwa anakupenda sana sidhani kama utakuwa na haja naye. Nidhamu ya Jeshi imeenda mbali zaidi inaanzia na mambo madogo madogo kama tatoo. Ushauri wangu ni kwamba mpe mtaji aanze maisha.
 
mwambie aanzishe bend ya musiki jesh asahau
 
Amfuate Ney wa Mitego amfundishe kuimba maisha popote sio lazima awe jwtz!
 
Wasalaam
wakuu

nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...

Nawasilisha


Kwanini usimpe dili la Real Estate Projects......
 
Last edited by a moderator:
Wasalaam
wakuu

nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama kuna member anaijua sehemu au kuna mtu anamjua amsaidie jamaa huyu...

Nawasilisha

Duh imekula kwake huku a2tak majambaz hajajua hata hatma ya maisha yake anaanza kujichorachora na haifutik hyo na ata akifuta 2tajua 2 hawez pokelewa ..atafute maisha mengne 2 ila kuhusu jesh ndo asahau kabisaaaa,kaimbe mzk bwana jesh ha2tak hao
 

Tatoo ni kiwango cha juu cha utovu wa nidhamu. Hata wewe jaribu kufikiria kama wewe ni mwanaume unakutana na mwanamke ana tatoo makalioni anakwambia kuwa anakupenda sana sidhani kama utakuwa na haja naye. Nidhamu ya Jeshi imeenda mbali zaidi inaanzia na mambo madogo madogo kama tatoo. Ushauri wangu ni kwamba mpe mtaji aanze maisha.

Inasikitisha sana jinsi ambavyo maamuzi yanamgharimu kijana wa watu na watu wakaribu yake. Inanikumbusha kitabu cha

T.D Jakes Before you do


In Before You Do, bestselling author T.D. Jakes turns his attention and teachings to the topic of relationships and the issues that need to be resolved by incorporating the spiritual and psychological tools that will help you reevaluate and reposition yourself.

Relationship decisions come down to five crucial components, according to Bishop Jakes:
Research: gathering information and collecting data
Roadwork: removing obstacles and clearing the path
Rewards: listing choices and imaging their consequences
Revelation: narrowing your options and making your selection
Rearview: looking back and adjusting as necessary to stay on course

Before You Do gets you on the right track to making decisions that you will be proud of for the rest of your life. He gives you insight on how to reflect, discern, and decide the next step to take to have a strong and enduring love, marriage, and family.

The Bishop takes a spiritual and practical approach to inherently emotional issues such as the outside influences on our relationships, e.g., in-laws, friends, and former spouses; coping with anger; parenting; financial concerns; negotiating high-profile lives; and so many more of the issues people face every day. His special brand of counseling and teaching appeals to the faith-based community and beyond, reaching millions who receive his wisdom in all media, especially books.

Real Estate Projects, mfanyie tu utaratibu mwingine, najua kwa hili atakuwa amejifunza jinsi baadhi ya maamuzi kwenye maisha yanavyokua na matokeo endelevu.
 
Last edited by a moderator:
Sio mzuri kuelekeza ntajitahidi nyuma ya bilicana kwenye keep left kama unaelekea Kvd kuna pahala wameandika. Ukiwauliza wale waliotundika nguo they can direct you sehemu engine nimesahau nikikumbuka nta kupm
 
Mwambie apige pasi ya moto hapo had mwakani atakuwa amepona na ataenda kama kovu tu la kidonda.
 
Ingekuwa vizuri wanabodi kujibu either unajua au hujui wanakotoa hiyo michoro (Tatoo) halafu ndio mumpe ushauri. Binafsi sijui.
 
kama ypo hpa dar, akajiunge na bongo muvi tu! jeshini hawaend masela nondo kaka, au kama anahis ananguv nying bas akawe baunsa wa club
 
Back
Top Bottom