pole sana mkuu!
ni wazi kwamba hiyo tatoo ilichorwa kabla yandoa yenu(kuwa tofauti na hapo ni probality)pengine hajapa technologia ya kufuata tatoo hiyo.
angalia namna sahhi na postive ya kulizungumzia hilo hana ya sababu ya kukasirikia suala hilo na pia sioni kwanini umtishwe lawama kubwa kuhusu hilo ,tafuta muda mzuri mlizungumzie kwa nia njema kabisa!
jitahidi kuahifadhi mambo yenu ya ndoani myatufutie suluhu huko huko!