Tatoo chini ya kalio

realleonia

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2013
Posts
366
Reaction score
138
Waungwana habari ya mchana?

Naomba ushauri nina mwaka sasa katika ndoa jana katika kugegeda nimeona tatoo ya ex wake wife imejificha sana chini ya ---- kumuuliza amekua mkali inanipa ugumu sana jamani.
 
Kwani ulimkuta bikira? hizo ndo gharama za kuoa aliyetumika.....kama unampenda kweli tatoo hiyo utaona kama kidoa tu.....upendo hufunika wingi wa dhambi.
 
pole sana mkuu!
ni wazi kwamba hiyo tatoo ilichorwa kabla yandoa yenu(kuwa tofauti na hapo ni probality)pengine hajapa technologia ya kufuata tatoo hiyo.
angalia namna sahhi na postive ya kulizungumzia hilo hana ya sababu ya kukasirikia suala hilo na pia sioni kwanini umtishwe lawama kubwa kuhusu hilo ,tafuta muda mzuri mlizungumzie kwa nia njema kabisa!
jitahidi kuahifadhi mambo yenu ya ndoani myatufutie suluhu huko huko!
 
Kwahiyo umemgegeda ex wa wife wako?

Sijakuelewa ndugu!
 
Mwaka mzm kweli hujamwona? muulize taratibu akwambie ilikuwaje mpk ana tatoo
 
mi mke wangu nimemchora tatoo za maneno ya kutisha sana kuzunguka ---- kama vile ingiza ufe ,ukiingiza utakua kafara wa 60 kufa na mafuvu mengi sana
 
Huo ulikuwa ujana tu si ameshakuwa mkeo...mimi nimechora tattoo kwenye mkono kipindi hiko baunsa lakin sasa najuta haifutiki nilitaka nizame JWTZ ikashindikana,....!
 
Waungwana habari ya mchana?

Naomba ushauri nina mwaka sasa katika ndoa jana katika kugegeda nimeona tatoo ya ex wake wife imejificha sana chini ya ---- kumuuliza amekua mkali inanipa ugumu sana jamani.


hapo kwenye red...mwanaume ndiye ana tatoo kwenye ---- na wewe ni ke? au wewe ni me ulikuwa una.f.i.ra?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…