That the point upendo usiwe na tarajio la kitu fulani upendo uwe na sababu zako siyo za upande wa piliNipende kwakua unanipenda,usinipende kwakua mimi ninakupenda. Hapo halitakuwepo pendo.. Napenda unipende kwau moyo wako umeona nafaa kupendwa nawe. Usinipende kwakunionea huruma hisia zangu🙄🙄
That's what I deserve
Mbona ndio wanaolia kwamba nimemgharamia lakini bado amechapwa hahaha kuna thread nimesoma eti amemkuta mwanamke juu ya kitanda alichonunua lak saba na mwanaume mwingine upendo sio vitu, ukiwekeza kwenye vitu lazima uliwe vituTatizo watu ni wabishi.
Kuna wanapuuzi kisa wana vihela vya nyanya , basi wanadhan ndio UTEMI kwamba sasa Mwanamke atamuabudu![]()
Tunafanya vice versaNdio tunapokwama hapo ilitakiwa ukioa ndo yanoge zaidi
Fedha ninazo mkuu, ninachokuambia ukifikiri fedha ndio suluhisho utakuja kujitwanga risasi ukimuacha mwanamke akiendelea kuliwa na wengine hapo ndo tutakaposema umekufa kizembe
Kwa bahati mbaya huwezi kuishi bila viumbe hawa maisha yakabalanceMimi bado nalia na wanaume wenzangu..tu ......jaman wanawake wa sasa washakua majeuri na dawa ya jeuri ni kiburi na sio hizo ngonjera zenu mnazo Imbiana humu. Mnapoteza muda na rasilimali zenu kwa watu wasio watakia mema kwa jina la mapenzi sijui real love . Acheni ubwage amkeni na tuishi kama hakuna wanawake duniani uone watakavyo hahaha hawa viumbe ukiwapotezea ndio utawafaidi Ila endeleeni kujifanya maromantiki sijui majontromeni shenzi zenu mtalia hadi mjinyeee
HahahahahahahahNi ubwege kulialia kwa ajili ya mwanamke mmoja na huku ukiamini hawa viumbe wapo bwelele kuliko wanaume!