Tatizo ni nini?

Tatizo ni nini?

bab-D

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
1,333
Reaction score
402
Naomba kufahamishwa

Screenshot_20250521-062855.png
 
Daaa,, sasa nimekuelewa

Hii tabia itaisha lini?
Juzi nimeenda kupima kipimo cha uzee. Diagnostic Centre Morocco wakanipa printout. Kwa kawaida huwa nikipima lazima nipime pia sehemu ingine kwa uhakiki pale maeneo ya Mwenge. Hawa wa pili majibu yalikuwa juu sana. Nikaomba printout, hapo ndipo nilipojua jinsi tunavyodanganywa. Mara machine yetu haina printer mara ilikubi ilikubi. Akili mukichwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom