Epukeni kuandikiwa vipimo bila kupata copy iliyotoka katika machine. Mara nyingi tunadanganywaNaomba kufahamishwa
Dr alishindwa kujua ugonjwa na akakupa cipro na wewe ukameza tu?Mkuu nilipewa sipro na doctor alishindwa kujua ugonjwa
Kuna namna sisi ni vilaza sanaMimi nishakoma kutumia madawa hovyo
Kwer mwanangu maana sijui wanatuchukuliaje vileKuna namna sisi ni vilaza sana
Sawa vizuri , ila usingepaswa kutoka hospital bila kujua una umwa niniUmejuaje nimemeza? Nimeyatunza tuu,
Ndio maana anatoa macho 😂Dahhhh pole sana mkuu....
Nashauri uanze mazoezi, kula vizuri na upumzishe mwili wako, pia zingatia kunywa dawa kwa wakati...🤥
Mtu kaandikiwa majibu ya vipimo kama ki memo cha uchumba na hajui kaandikiwa nini na dawa kapewa na ameondoka tu.Kwer mwanangu maana sijui wanatuchukuliaje vile
mwulize dakatari aliye agiza kipimo hikiNaomba kufahamishwa
Usicheke mkuu, tumepoteza mguvu ya taifa hapa..🤣Ndio maana anatoa macho 😂
Juzi nimeenda kupima kipimo cha uzee. Diagnostic Centre Morocco wakanipa printout. Kwa kawaida huwa nikipima lazima nipime pia sehemu ingine kwa uhakiki pale maeneo ya Mwenge. Hawa wa pili majibu yalikuwa juu sana. Nikaomba printout, hapo ndipo nilipojua jinsi tunavyodanganywa. Mara machine yetu haina printer mara ilikubi ilikubi. Akili mukichwaDaaa,, sasa nimekuelewa
Hii tabia itaisha lini?