Hekima Ufunuo
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 220
- 11
Wabunge wetu kwa siku za karibuni wanaonekana kama wamekosa ustarabu tuliouzoea toka chama kimoja na hatimaye vyama vingi vya (uwoga).
Nimesiikiliza kwa makini mitafaruku ya wabunge wetu mpaka wengine kutolewa nje ya bunge, na pia nimefuatilia matamshi mbalimbali yaliyotolewa na wadau na viongozi wastaafu wakijaribu kuwaasa wabunge wetu.
TATIZO SIYO WABUNGE, NI WENYEVITI PAMOJA NA SIPIKA KUENDESHA CHOMBO KWA UPENDELEO.
wote watakao waasa wabunge wetu, watume ujumbe kwa viongozi vinginevyo tatizo litaendela kubaki.
Nimesiikiliza kwa makini mitafaruku ya wabunge wetu mpaka wengine kutolewa nje ya bunge, na pia nimefuatilia matamshi mbalimbali yaliyotolewa na wadau na viongozi wastaafu wakijaribu kuwaasa wabunge wetu.
TATIZO SIYO WABUNGE, NI WENYEVITI PAMOJA NA SIPIKA KUENDESHA CHOMBO KWA UPENDELEO.
wote watakao waasa wabunge wetu, watume ujumbe kwa viongozi vinginevyo tatizo litaendela kubaki.