kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Nimeuliza swali hili sababu ya jambo ambalo ameniambia mchumba wangu kuhusu rafiki yake aliyepotoze mahusiano yake sababu ni bikira. Kijana alimuomba rafiki yake wa sex. Binti alimuambia kwamba yawapasa wasubiri mpaka usiku wa harusi yao. Jambo lakushangaza kijana akamwambia awezi kumuoa bikira.
Je ni kosa kwa wasichana kujichunga wao wenyewe mpaka siku ya ndoa?
Lipi la Maana? Kumuoa msichana ambaye amejichunga na kutoshiriki tendo la ndoa au kumuoa msichana ambaye amefanya mapenzi na wanaume tofauti?
Angalizo, Sijasema ni lazima kuoa bikira, ila ni mwanamke sahihi kwa wewe. Ametokea ni bikira, utamkataa kwa sababu hiyo?
Je ni kosa kwa wasichana kujichunga wao wenyewe mpaka siku ya ndoa?
Lipi la Maana? Kumuoa msichana ambaye amejichunga na kutoshiriki tendo la ndoa au kumuoa msichana ambaye amefanya mapenzi na wanaume tofauti?
Angalizo, Sijasema ni lazima kuoa bikira, ila ni mwanamke sahihi kwa wewe. Ametokea ni bikira, utamkataa kwa sababu hiyo?