Tatizo la yellow light kwenye playstation 3

lucious_lyon

JF-Expert Member
Jul 20, 2015
246
290
hili ni tatizo la playstation kutokuwaka yani ukiiwasha inawaka taa nyekundu alafu njano alafu kijani inazima inarudi nyekundu, hapa kariakoo mafundi wanajua hilo tatizo kama yellow light.

Tatizo linakuja hapa, wanakwambia ukitoa mguu baada ya wao kutengeneza hawakupi gurantee kwamba umetokomeza tatizo, yani linaweza kujirudia hata baada ya dk 10 baada ya wao ku fix.

hii inamaanisha hakuna mjanja wa kutengeneza playstation iliokua na tatizo hilo, mafundi zaidi ya watatu wanaogopa hata kuishika, mwenye kujua jinsi ya kufix hili tatizo pls naomba msaada.

Santeni.
 
hili ni tatizo la playstation kutokuwaka yani ukiiwasha inawaka taa nyekundu alafu njano alafu kijani inazima inarudi nyekundu, hapa kariakoo mafundi wanajua hilo tatizo kama yellow light.
Tatizo linakuja hapa, wanakwambia ukitoa mguu baada ya wao kutengeneza hawakupi gurantee kwamba umetokomeza tatizo, yani linaweza kujirudia hata baada ya dk 10 baada ya wao ku fix.
hii inamaanisha hakuna mjanja wa kutengeneza playstation iliokua na tatizo hilo, mafundi zaidi ya watatu wanaogopa hata kuishika, mwenye kujua jinsi ya kufix hili tatizo pls naomba msaada.
Santeni.
Yellow Light of Death (YLOD)
hilo tatizo inasemekana kuwa Graphics card (GPU) itakuwa imeharibika au ku lose connection with motherboard
 
DUH hapa bongo sijui kama mafundi wana utaalamu juu ya tatizo kama hilo. we jipange kama 200000/= ununue ps3 superslim kabla hazijapanda bei maana kwa sasa unaweza ingiza game yoyote in ofw 4.81/82

kwa hapa dar zinauzwa wapi?!!!
 
Back
Top Bottom