Tatizo la wezi kigamboni(ushauri)

KIGHERA

Member
Nov 19, 2010
84
27
Habari wa ndugu,
Mimi nina kakibanda kangu kigamboni kule kibada(eneo la mikwambe) sijahamia ila tatizo linalonitatiza na kushindwa kuhamia ni wezi,kwani hilo eneo watu wengi hawajahamia hivyo kuna wezi wanaoingia nyumba za watu mara kwa mara kwani jirani yangu wameshamliza.
Hivyo naomba ushauri wandugu kwa wanaokaa maeneo yale au yeyote anae kaa maeneo ambao watu wengi hawajahamia wanatumia mbinu gani kuwaepuka hawa jamaa au kuliondoa tatizo kabisa.
Ahsanteni na nawasilisha,unaweza pia kuni pm kama unaona kuna haja ya hivyo tafadhali.
 
Kama kuna wezi siuende kwenye Majibwa ya CCM yakusaidie? Ukitaka waje haraka waambie kuwa wanachama wa Chadema wanawapiga ndugu zenu watakuja fasta
 
kama wanaweza kupambana na maandamano kwa nini washindwe hiyo ya wezi?
 
Washauri wenzako mfanye ulinzi shirikishi katika eneo lenu, kama mna visumni kidogo mnaweza kuwamobilize vijana ambao wapo mtaani (ambao ninaamini hata hao vibaka wataingia kwenye hiyo project) na wawe wanalinda usiku kucha kwa kila nyumba kuchanga lets say 30 - 50 kwa mwezi. Mimi ninaishi kibada block 17 na tumefanya hivyo (tunachanga 30 thousands per month) inasaidia kwa kiasi fulani kupunguza wizi.....Implication yake ni kwamba hao vijana wezi ndio watakaokuwa walinzi hivyo badala ya kuwaibia mnakuwa mnawapa kwa ridhaa yenu wenyewe.
 
Mimi naishi huko, kuna taitizo kubwa la kiusalama, tena kuna wizi hata ule wa kutumia silaha achilia mbali vibaka na wakabaji!

Moja ya chanzo cha tatizo hili ni ukosefu wa vituo vidogo vya polisi maeneo hayo zaidi ya cha Kigambo hapa feri, pili hakuna doria ya maana usiku kiasi kwamba ikifika usiku vibaka hushangilia!

Na zaidi polisi wanahusika kwa matukio ya kupora kwa kutumia silaha, mfano polisi wanatoa taarifa kwa majambazi kuwa mtu fulani anamiliki silaha, hivyo majambazi wakifika chakwanza kabisa wanahitaji silaha kisha shughuli nyingine zinaendelea!

Serikali iimarishe uadilifu wa polisi wetu na wananchi tuanzishe ulinzi shirikishi (sungusungu), viwekwe vituo vya polisi kibada, vijibweni,kimbiji na cha mji mwema kiboreshwe!
 
polisijamii sungusungu wamenikata stimu ijumaa natokazangu RUFITA kucheki FM BAND wakanibambia kesi hadikiasi kikatoka,nakushauri weka mabausa wako ndiyo ponapona yako
 
fanyeni ulinzi shirikishi au ombeni mpate kituo cha polisi hapo mnapoishi-jichangenyi muwajengee polisi 3/4 rooms zao wataletwa tu hapo
 
Fanya mpango umiliki bunduki mkuu, ukipiga risasi mbili tatu hewani wenyewe wataambizana kuwa pale sio pa kukanyaga.
 
Back
Top Bottom