wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,404
ww mwenyewe kujieleza bado ni tatizo.
ni mmoja kati yao ? au co mtanzania ?
ww mwenyewe kujieleza bado ni tatizo.
Hakikisha kila baada ya nukta unaanza na herufi kubwa.
nimewahi kusikia hilo japo sijalisoma kwenye chambuzi zenye mamlaka, yani tafiti za kitaalam.au ukosefu wa lishe bora toka utotoni umedumaza akili za watanzania wengi??!
Nadhani hata wewe una shida ya kujieleza pia. Daima anza na herufi kubwa mwanzoni mwa kila sentensi.
Usiseme watanzania sema baadhi ya watanzania.Watanzania tuna tatizo sana la kujielezea au kutoa ufafanuzi wa jambo fulani au nini kifanyike juu ya jambo fulani. ukitaka kukubaliana na mimi angalia vipindi vya kwenye television au radio ambavyo vinahoji watanzania au hata humu JF unaweza ukathibitisha. unaweza kupigwa butwaa mtu anavyojibu au anavyoelezea jambo mpaka unajiuliza hivi huyu anaelewa anachoongea/kuulizwa au anaongea na ye aonekane ameongea!! hili tatizo si kwa wale wasioenda shule pekee bali hata waliofanikiwa kupata elimu.
Najuliza sana hii hali inasababishwa na nini? kutojiamini, kukosa ufahamu, uvivu wa kufikiri, kujifanya tunajua sana wakati hatujui au ukosefu wa lishe bora toka utotoni umedumaza akili za watanzania wengi??! na kama tumerogwa basi alieturoga, ameturoga pabaya. tuna safari ndefu sana!! Kwa ufupi hili taifa kuja kufanikiwa ni ndoto ya saa sita mchana.
Nadhani shule ni baadae mno.... tatizo linaanzia nyumbani. Mtoto wa Kitanzania unatakiwa uondoke sebuleni wageni wakija. Ukishaamkia unaambiwa haya nendeni mkacheze huko....! Huna nafasi ya ku interact na wakubwa na kukomaza verbal reasoning yako.Mkuu mutant gene tatizo linaanzia shule, hatujengwi kuwa na confidence ya kuuliza maswali na kujiamini kujibu maswali, ukiwa unamuuliza mtu swali au unamjibu huku ukiwa unamuangalia unaambia huna adabu au heshima. Wee angalia akitokea mtu kumuuliza maswali magumu kiongozi ataambiwa hana adabu au anamvunjia heshima Kiongozi. Kwa hiyo tatizo lipo kwenye confidence. Nchi za wenzetu wanajengwa wakiwa wadogo tena wakiwa chekechea jinsi ya kuuliza na kujibu maswali huku wakiwa na confidence bila ya kuogopa. Angalia watoto wadogo wakitembelewa na viongozi wao mashuleni mwao wanawauliza viongozi wao maswali huku wakijiamini bila ya woga sio shule zetu huruhusiwi kumuuliza swali kiongozi.
Umeongea kweli mkuu, labda nitoe mfano hai kabisa niliouona kwa macho yangu.
Wiki mbili zilizopita msanii RECHO alikua anaojiwa na mtangazaji wa BBC Chazi Hilary.
Aliulizwa 'kuna changamoto gan katika muziki unaofanya'
Jibu alilotoa ni 'Anatongozwa sana na wanaume wengi wakitoa ahadi ya kumpa fedha.
Nilitegemea kua angesema labda soko bado liko chini au wizi WA kazi ni mkubwa na udhibit ni mdogo.
Jk akiwa France aliulizwa kwa nini nchi yake maskini! Majibu aliyotoa, mfano wako ni bora zaidi!
Mama tibaijuka alivokuwa anajielezea khs escrow, nimepata ukweli wa huu uzi!
Ukiwaskiliza wabunge wetu mle ndani, Daaah....
HaahaaahaahaahaaWakati bado mtoto kila utakachoongea utambiwa nyamaza tabia mbaya hiyo, mkubwa anapoongea unakaa kimya.