Ukiwa na matatizo ya mgongo na kiuno lazima uume wako hautafanya kazi vizuri kwani nguvu za uume zinatokana na mgongo na kiuno. Pole sana dawa zipo za kuweza kukutibia na ukaweza kupona maradhi yako.Ndugu wana jf mwenzenu Nina tatizo la maumivu ya mgongo na kiuno ya mda mrefu sasa jumamos iliyopita nikashangaa uume hausimami gafla wakati sijawah kuwa na shida hiyo,je hospital linatibika masaada tafadhali
Umri wako?Ndugu wana jf mwenzenu Nina tatizo la maumivu ya mgongo na kiuno ya mda mrefu sasa jumamos iliyopita nikashangaa uume hausimami gafla wakati sijawah kuwa na shida hiyo,je hospital linatibika masaada tafadhali
Miaka 30,Sinywi pombe,nimepewa antpain mara nyingi lakin bado,na vp hivo vipimo mpaka nije dar au huku mtwara vinapatikana?Umri wako?
Una tumia vilevi?
Ushawahi kutibu mgongo na kiuno?
Kuhusu uume kutokusimama cheki blood glucose, pressure,na hormone ya testosterone
Mkuu ipelekee mashine matirio ndio unaweza jua inachakata au haichakati kuiona uliiona tangu ukiwa mdogo.Si naiona mkuu
Una UTI sugu?Miaka 30
Ndio nenda ndanda mission kuna wataalamu wazuriMiaka 30,Sinywi pombe,nimepewa antpain mara nyingi lakin bado,na vp hivo vipimo mpaka nije dar au huku mtwara vinapatikana?
Nenda ukapime kwanzaDawa yake mkuu ni nn
Uje pm tutete mkuuNishapima mara nyingi naishia kupewa Cipro, dox,azuma na nikapigwa sindano 4 za penaduu, nikachomwa power self ila tiba izo hazikufua dafu