Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,043
Inaumiza!
Mkoa wa Mtwara uliojaliwa gesi, mabomba yakitiririsha gesi kuelekea DAR ES SALAAM huku yakiacha KILIO na uchungu mkubwa kwa wakazi wa Mtwara kwa kukosa umeme. Inavyoonekana tatizo ni kubwa mno na kwamba kwa siku za usoni tunaweza kushuhudia Mtwara ikikosa kabisa umeme. Inaumiza sana!
Mkoa wa Mtwara uliojaliwa gesi, mabomba yakitiririsha gesi kuelekea DAR ES SALAAM huku yakiacha KILIO na uchungu mkubwa kwa wakazi wa Mtwara kwa kukosa umeme. Inavyoonekana tatizo ni kubwa mno na kwamba kwa siku za usoni tunaweza kushuhudia Mtwara ikikosa kabisa umeme. Inaumiza sana!