Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,064
- 2,301
Wachina wanazisomba kama nini. Wanapeleka kwa. Rate imefika 2900.Tatizo la dollar ni kubwa
Hazipatikani hizi PhD ni za nn?
Wananchi wanahaha.
Wachina wanazisomba kama nini. Wanapeleka kwa. Rate imefika 2900.Tatizo la dollar ni kubwa
Hazipatikani hizi PhD ni za nn?
Wananchi wanahaha.
😂 😂 😂 😂 😂 😂Yaani nimehangaika watu wanaagiza dollar mpaka zanzibar zinaletwa kwa bot
Dollar moja 2850 ???
Hii ni kama sugar
Bro mim sipo tz mzee natarajia kurud very soon ndo maan nauliz nisingeulz hayo maswal kama jambo halinihus broHuna dollars ww
Transaction za online hazina fekiBro mim sipo tz mzee natarajia kurud very soon ndo maan nauliz nisingeulz hayo maswal kama jambo halinihus bro
Wenye PhD wengi ndio wenye mamlaka yakutatua changamoto za wananchi, kutokana na nafasi za uwongozi serikalini walizo nazo. Ndio anacho maanishaPh.Ds zinaleta dola? 😳😳😳
Mim na cash kaka . Nikija bongo narud na cash nchi lokuepo nafany kaz flan iv nalipw iwa dollar ila nalipw cash.Transaction za online hazina feki
Jiandae kuwa tajiriMim na cash kaka . Nikija bongo narud na cash nchi lokuepo nafany kaz flan iv nalipw iwa dollar ila nalipw cash.
Huyu nae alichangia kwa kuuwa biashara ya beuro, wale majamaa aliowafilisi wengi wao inasemekana wanaendelea na biashara ya kuchenjisha dola kwa magendo, hali inayoongeza ugumu wa dola kwenye mzunguruko.Mtanikumbuka!
Tatzo bank washenz rate yao ndogo mno sana.Jiandae kuwa tajiri
Daaahli nchi li kuuubwa la kipumbavu linajiendea kama gari la taka
Mnhhhuu!!! Hujatia chumvi?Yaani nimehangaika watu wanaagiza dollar mpaka zanzibar zinaletwa kwa bot
Dollar moja 2850 ???
Hii ni kama sugar
Wa 2,800 aje harakaAnayehitaji dola kwa exchange ya 2900 aje chap....