Embassy wanajua kwann hali iko hiviAdmin jamii forum tusaidie hii ifike juu tatizo ni kubwa basi embassy wakubali fedha ya Tanzania.
viongozi wako wamehold dollar kibao wametunza tu kama sukariMbona viongozi wote hawafanyi jitihada hata kuruhusu basi huduma kulipiwa kwa Tsh. ...
Hili ni jambo jema sana. Tatizo la watanzania ni kuwa huwa tunaona siasa hazituhusu na hazina uhusiano na maisha yetu. Utasikia mfanyabiashara anasema hataki kuongelea mambo ya uongozi mbovu kwa sababu hataki matatizo bila kujua kwamba anapokaa kimya ndiyo anakaribisha matatizo makubwa zaidi. Hivyo basi ni vizuri nchi izidi kuwa na matatizo mengi ili wananchi wajue maana ya uongozi bora.Yaani Namaanisha ukiwa na elimu ni kutatua matatizo sio tuu kumpa shida mwananchi, kumshauri vema Rais
Bank hazina dollar ??
Yaan mtuu mwenye fedha zake bank hiyo hiyo anataka dollar hapati
Umaskini gan huuu
Bwawa la umeme SGR,etcDeni lipi ndg ?
Si mlisema mwendazake amesababisha kupungua Kwa Dola Kwa Sababu ameharibu uchumi na amefukuza wafanyabiashara na huyu aliyeruhusu mchina awe machinga imekuwaje?Tatizo la dollar ni kubwa
Hazipatikani hizi PhD ni za nn ??
Wananchi wanahaha