Tatizo la Tecno p5

Tatizo la Tecno p5

dedam

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
845
Reaction score
166
ninatumia Tecno p5 ina tatizo moja .

Kuna wakati nikitaka kutumia yanatokea matangzo mengi mara install hiki bas ni shida.

Mpaka nashindwa kuitumia wakati mwingne ina stack.

Nifanyeje irudi kwe hali yake ya kawaida?
 
Reset simu yako....itakuwa -pouwa zaidi....
-hakuna kuload.....
- itakuwa fasta kama ulivyoinunua..
 
ninatumia tecno p5 ina tatizo moja kuna wakati nikitaka kutumia yanatokea matangzo mengi mar install hik bas ni sheed mpka nashindwa kuitumia wakt mwingne ina stack nifanyeji irud kwe hali yake ya kawaida

Tumia hiyo Njia ya kureset simu ,

Tahadhari;;

1.Kama kuna namba za simu umesave kwenye simu zitafutika zotee,(za kwenye laini zitabaki)

2. Videos, audios, images , docs files na files ulizosave kwenye simu zinapotea pia.

Ushauri:
Fanya backup ya hivyo vitu kabla ya kureset simu yako...mfano ; namba ulizosave kwenye simu zicopy kwenye email yako....hizo files zihamishie kwenye external memory (memory yako ya uliyoweka kwenye simu).
 
Fuata hizi hatua kufanya hivyo;
 

Attachments

  • 1447446964551.jpg
    1447446964551.jpg
    39.9 KB · Views: 364
  • 1447446977022.jpg
    1447446977022.jpg
    47.4 KB · Views: 336
  • 1447446988425.jpg
    1447446988425.jpg
    45.2 KB · Views: 336
Nimereset hii sim p5 lakini matangazo bado yanakuja je tatizo nini?
 
Kama umereset haikubali itabidi uroot na kutoa hio app inayofanya hivyo, mara nyingi ipo system file
 
Kama umereset haikubali itabidi uroot na kutoa hio app inayofanya hivyo, mara nyingi ipo system file

nimeireset bado inarudia mambo yale yale je nifanyaje ili niweze kuroot
 
Poa! Shida yangu nyingine chif nahitaji kununua Laptop kwa kuedit video je ninunue yenye ukubwa gani(Processo)
 
Poa! Shida yangu nyingine chif nahitaji kununua Laptop kwa kuedit video je ninunue yenye ukubwa gani(Processo)

Nunua yenye core nyingi kadri utakavyoweza, hasa hasa i7 yenye thread nane. Budget ni shilingi ngapi?
 
Bajet ni 800000/-

Huwezi pata i7 quad kwa bei hio labda iwe used.

Kuna huyu jamaa anauza laptop ya zaidi ya milioni 3 kwa laki 7. Ina kila kitu ambacho mtengeneza video angeota kuwa nacho.

Ila bei ni ndogo kiasi kwamba huamini, nikiiangalia nasikia harufu ya utapeli, ila sio mbaya kumcheki ila kuwa makini sana

http://www.olx.co.tz/m/ad/macbook-p...ntel-core-i7-512gb-ssd-16gb-ram-ID15FU49.html

Kama utataka kwenda dukani strugle upate laptop yenye i5 inayoishiwa na m mbele kama vile
i5 4200m
i5 4300m

Hizi zinatumia hadi watts 35 hivyo zinaweza kukaa max clock kwa muda mrefu na kukusaidia wakati wa kurender video
 
Jaribu kutumia kingroot au framaroot hizo ni apps ukigoogle utazipata

Chief, Nina shida Na tecno r5, iko slow kwenye net, pia Whatsapp inakataa Ku respond, nikitaka kudownload images lazima ni restart Simu.

Nimeshindwa Ku reset Kwa sababu password Inakataa, nimejaribu 1234 Na 0000 zote hazitaki.

Cha ajabu inapofikia kuweka password anasema confirm password kabla sijaweka password yoyote.

Nimedownload kingroot lakini sijui jinsi ya kuitumia.

Naomba msaada wako
 
Chief, Nina shida Na tecno r5, iko slow kwenye net, pia Whatsapp inakataa Ku respond, nikitaka kudownload images lazima ni restart Simu.

Nimeshindwa Ku reset Kwa sababu password Inakataa, nimejaribu 1234 Na 0000 zote hazitaki.

Cha ajabu inapofikia kuweka password anasema confirm password kabla sijaweka password yoyote.

Nimedownload kingroot lakini sijui jinsi ya kuitumia.

Naomba msaada wako

Root si solution ya kila kitu,

Huwenda una setting mbaya za internet ndio maana picha hazidownload na net ipo slow au upo eneo hauna 3g. Fanya mambo haya

1. Angalia juu ya simu mtandao unasoma G au E au 3g au H au h

2. Nenda setting then kwenye wireless and network nenda more halafu nenda mobile network halafu acess point nisomee jina setting za internet kama ni wap au web au internet
 
Huwezi pata i7 quad kwa bei hio labda iwe used.

Kuna huyu jamaa anauza laptop ya zaidi ya milioni 3 kwa laki 7. Ina kila kitu ambacho mtengeneza video angeota kuwa nacho.

Ila bei ni ndogo kiasi kwamba huamini, nikiiangalia nasikia harufu ya utapeli, ila sio mbaya kumcheki ila kuwa makini sana

http://www.olx.co.tz/m/ad/macbook-p...ntel-core-i7-512gb-ssd-16gb-ram-ID15FU49.html

Kama utataka kwenda dukani strugle upate laptop yenye i5 inayoishiwa na m mbele kama vile
i5 4200m
i5 4300m

Hizi zinatumia hadi watts 35 hivyo zinaweza kukaa max clock kwa muda mrefu na kukusaidia wakati wa kurender video

Kwa specification hizo apo ju chief hiyo laptop inaeza kua bei gani dukani.
 
Ku root pekee hakuwezi kumaliza tatizo lako Kuna baadhi ya application ambazo unatakiwa u install ili kukamilisha utoaji wa hizo ads njia nzuri na lahisi ni ku flash kwa sp tool kama hauna box ya Volcano
 
1.nenda Google utafute application inaitwa kingroo apk Kisha Install ktk simu yako na itakupa maelekezo namna ya kufanya hapo, kwa kuhakiki kama simu yako itakuwa Tayari imekuwa rooted download Tena app inaitwa root checker hiyo itakuonyesha kuwa zoezi lako ambalo ulikuwa unafanya la ku root umefanikiwa ndipo uingie hatua ya....... 2.nenda playstoreplastered udownload app inaitwa system app manager hiyo ndio ambayo utaitumia ku delete app ambazo ndio chanzo cha matangazo hayo, kumbuka Kuna app zingine ambazo zipo katika system ya simu yako hazitakiwi kufutwa kwakuwa ndio zinazoifanya simu yako I run au nenda playstore uandike ES app ya kwanza tu download na Install ktk simu hii nayo inafanya Kazi kama hiyo system app manager ku delete unwanted apps. Ukishindwa kabisa basi flash simu yako kwa kutumia sp tool na scatter file.
 
I mean hiyo ya i5 4200m chief

Around 800,000. Kulikuwa na duka uhuru kama unatoka round about ya msimbazi upande wa kushoto nje lina sticker za lenovo walikuwa wanaziuza 850,000 ila mara ya mwisho kuenda zimeisha.
 
Back
Top Bottom