Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 675
nina simu yangu ina matatizo sana sijajua suluhisho lake kwanza ukiiwasha inawaka baada ya muda inazima,nilipeleka ikaflashiwa lakini bado inawaka na kuzima nikabadilisha betri bado tatizo ni lile lile ila nikiweka kwenye chaji na kuwasha na kuacha ivo ivo inafanya kazi ivi tatizo litakuwa ni nini watu wangu hapo